Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Shosti mume wetu ameenda kazini
ACHA KUFOKA TAFUTA NDOA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ACHA KUFOKA TAFUTA NDOA
Povu.
Utopolo huu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]akili nyingine bwanaYope remix ni mali ya Diamond, japo kashirikishwa.
Ukiingia kwenye YouTube aacount ya Innos huwezi kuikuta hii Yope remix, ila kwenye account ya Diamond ipo
Utopolo huu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]akili nyingine bwana
Hata kama kutokujua lakini hapa umepwayaYope remix ni mali ya Diamond, japo kashirikishwa.
Ukiingia kwenye YouTube aacount ya Innos huwezi kuikuta hii Yope remix, ila kwenye account ya Diamond ipo
UtotoHata alikiba anazo nyingi tu zenye views hao
SEMA aliwaambia YouTube wasitoe data zake
mbona hujibu swali? unaendeshwa na hisia za kijumbe jumbe..Yope ni ya innos full stop. Achen wizi kisha mnajaza views kupamba ujambazi wenu
Yope remix ni mali ya Diamond japo kashirikishwa?Yope remix ni mali ya Diamond, japo kashirikishwa.
Ukiingia kwenye YouTube aacount ya Innos huwezi kuikuta hii Yope remix, ila kwenye account ya Diamond ipo
Wewe ni hater lialiaRemix imechafuliwa ,orijino ipo vizuri ndo maana copycat wetu alishindwa kubuni video nzima na kutumia 98% ya orijino yope.
Mnasifia copy and paste na bado ni REMIX tu. Tena jina linaanza innos ft domo
#ikiwaumamezeniwembe
Yna kama ynaaaHongera zimfikie mond..
[emoji23][emoji23][emoji23] Hi haters[emoji57][emoji57]
😂😂Yna kama ynaaa
Na anastahili heshima yake shida ya watz hatupendi kuambiwa/kusikia ukweli.Diamond ni alama moja wapo ya taifa