You must be in the mind of your children in order to be successful" I stand to be corrected for this

Kabisa chief [emoji122][emoji122]
 
Nimegundua asilimia 80 ya waliochangia huu uzi hawajauelewa!
 
Kama vile umeniona mimi kuandika .ngoja nifanyie kazi maana akuna utumwa mkubwa kama kusubilia mwisho wa mwezi.
 
Mungu alipomuumba Adam na kumweka katika bustani ya edeni! Ule haukuwa mpango, malengo wala ndoto za adam Ila yalikuwa ni malengo, maono na ndoto za muumba!! Hivyo mungu alikuwa na mpango Fulani na mpango huu hakuutekeleza mpaka pale alipofanta maandalizi yatakayopelekea mpango huo kutimia vema!
Mara nyingi tunazungumza kuhusu kuwa na malengo katika maisha na malengo hayo hugawanyika (malengo ya muda mrefu, muda mfupi), tatizo kubwa ambalo linatukumba na kujikuta tunaishi maisha yaleyale waliyoishi wazazi wetu ni kuwa hakuna uelewa was kutosha juu ya malengo ya muda mrefu!!
Kijana mwenzangu tambua utofauti uliopo kati ya malengo na maono!!! Asilimia kubwa ya wazazi wetu walkuwa na malengo ila hawakuwa na maono! Kwahiyo bado hata na wanao ambao ndo sisi tunabaki kuishi jinsi walivyokuwa wanaishi!!
Aiseeee!!! Badili mtazamo malengo ya muda mrefu ndiyo maono ikiwa na maana kuwa hata were usipo yafikia Ila wanao watayatimiza!!! Jiulize mzazi wako kakuachia maono gani aliyokuwa nayo ambayo alitamani sana kuyafikia na kuyatimiza?? Sehemu ya fulani ya maisha tunayoishi ni mambo tuliyoyaona kwa wazazi wetu!! So if you want to change the world then change yourself first!!

Kuwa na maono ya muda mrefu ambayo hata mwanao kesho na keshokutwa akikuuliza baba unataka nikufanyie nini uwe na chakumjibu!! Malengo yako hayata wasaidia wanao ila kitakachowasaidia wanao ni maono yako ndugu yangu!!!
 
Son of the son, nakupa tano ya nguvu. Ni hoja yenye tija haina utani. Tungekua kwenye akili za watoto wetu kweli tungeendelea mf. Anakuuliza baba ungenunua shamba kubwa wakati ule ungekua tajiri sasa, huenda ulikua na pesa ukapuuzia na inauma sana. Mimi nipo Kerege Bagamoyo, laiti ningechukua mkopo na kuwekeza kwenye ardhi ningekua mbali sana. Turudi kwenye elimu, sio ya vitendo ila upate cheti basi. Mwanao ajifunze namna ya kucheza na ardhi, aweke mawazo yake kwenye uzalishaji asije akajuta kama mimi "I wished I could have known " too late
 
Uhalisia hubaki kuwa uhalisia! Asante mkuu!!!
 
Samahani hapo nilimalizia na broken English, not wished but "I wish I could have known "
 
Baba Yuko is nice... Being nice or trying to look nice isn't best for survival. Be the beast instead.
 
Hapo umepigilia msumari penyewe kabisaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…