You must be kidding me! - 21.9Millions USD?

You must be kidding me! - 21.9Millions USD?

Heri masikini fukara kuliko tajiri mtumwa. Hatuwezi ishi kwa kutgemea misaada milele. we must change!!!
 
eh NN, sihitaji kukuelezea usome kwa kuangalia muktadha na sio sentensi moja...and by the way that is clear enough,,,,,kama unavosema 'miafrika ndivyo tulivyo' tunatakiwa tupambane kuondokana na hali hiyo

Kinyume na hivyo utakuwa bado unafikiria miafrika ndivyo tulivyo kwa sababu ya prescriptions ambazo zimeshakuwa imposed kwenye uelewa wako...unafikiria tu kuwa 'to be is to be like and to be like is to be like....wazungu? ama wachina?

tafakari

Maneno matupu hayatabadilisha jinsi tulivyo....
 
Wajameni tusiushupalie sana huu msaada wa tujisenti twa Hu Jin Tao. Hutu ni tujisenti twa 'mgeni njoo mwenyeji apone'. JK na sisi Watanzania hatuna budi kushukuru kwa hicho kidogo maana tuko hoi bin taaban.

Hiyo ni ile hela ya pipi aliyepewa dogo alikuwa anamsindikiza dada yake ili aende dukani kununua pipi na akisharudi shughuli imekwisha isha. Serikali ndio dogo, Tanzania ndio dada na China ndio mtoa hela ya pipi.

China ni kitu ingine, wakati huu wa kuyumba kwa uchumi wa dunia ndio mchina anautumia kujiimarisha.
Pamoja na misaada lukuki toka China, Mchina anahakikisha anaimarisha soko lake huku akihakikisha no technology transfer ili wewe ubaki soko milele. Ni nchi iliogoma kusaini tamko la haki za binaadamu na mikataba yoyote ya anti piracy na nawahakikishia very soon Tanzania itakuwa koloni la wachina kiuchumi,
 
Niliona picha ya Mkapa kwenye ufunguzi wa uwanja. Hivi hakuona aibu kwenda kuomba kujengewa uwanja kwa $ 50m wakati kipindi hicho hicho ndio yeye na genge lake walichota $133m za EPA. AIBU!

Mwanakijiji kumbuka pia tumeweza kujenga minara pacha ya BoT kwa $450m. Ni viwanja vingapi hivyo?

Masanja nimekukubali; kwamba kinachotakiwa ni wananchi kuamka na kuwajibisha watawala regardless chama kitakachokuwa madarakani.
 
CCM wapi ndugu?????

Kenya na Malawi opposition now wameshika serikali karibu 10 years -ruswa tu mtindo mmoja!


Unasemea hao wapinzani ambao wote wamemeguka kutoka chama kilichokua tawala kwa karne milioni? Hiyo ni opposition au ni kama kuchukua hela na mkono wa kulia halafu unazihamishia kushoto?
 
DAR ES SALAAM (AFP) – Chinese President Hu Jintao signed cooperation agreements with Tanzania worth more than 20 million dollars Sunday, covering agriculture, communications and technical cooperation.

The deals totaling 21.9 million dollars (17 million euros) were finalised after talks between Hu and his Tanzanian counterpart Jakaye Kikwete.

"It has been a great visit," said Kikwete, hailing the friendly ties between the two countries.

"China and Tanzania share a common position on many issues, particularly on global peace and development issues.

"We all want an early conclusion of the Doha Round of the WTO talks, which we regard as beneficial to most developing countries," he added in a reference to the World Trade Organization talks towards a new global free trade pact.

"At this period of global financial crisis Tanzania and many other developing countries look at China as a partner in solving our problems. It is our hope that China will be on our side."

Hu said that China had been "impressed by Tanzania's role in the search for peace and conflict resolution in neighbouring countries and throughout Africa," particularly during Kikwete's time as chairman of the African Union.

"China will continue working closely with Tanzania on many areas," he said.

Hu arrived here late Saturday on the third stop of a whirlwind African tour that has taken him to Mali and Senegal and that finishes on the Indian Ocean island of Mauritius on Tuesday.

His official welcoming ceremony included a parade, while he saluted in a statement 45 years of "exemplary" ties with Tanzania.

Chief among the newly signed deals was a 17.5-million-dollar (13.6-million-euro) agricultural agreement. It was particularly important for Tanzania, where 80 percent of the population depends on farming.

"The funds will largely be used to finance investments in agriculture, especially providing loans to importers of agricultural machinery," Tanzanian presidential spokesman Salva Rweyemanu said.

China also inked a 4.4-million-dollar agreement to rehabilitate the state radio and television channels in the island of Zanzibar; and another to send Chinese volunteers to Tanzania to work in various fields including health.

Hu later inaugurated a 56-million-dollar, 60,000-seat sports complex, financed mostly by the Chinese government.

After their talks Kikwete also made it clear that Tanzania supported Beijing's one China policy and thanked Hu for China's continued economic support.

Beijing's One China policy is its view that Taiwan is a breakaway territory awaiting reunification. China has waged a diplomatic offensive to persuade other countries to withdraw their ambassadors from Taipei.

A Chinese embassy statement issued earlier quoted the president as praising the "sound and smooth way" the bilateral relationship had developed since ties were established in 1964.

"It can be viewed as an exemplary relationship of sincerity, solidarity and cooperation between China and an African country and between two developing countries," Hu said.

China is one of the top 10 investors in Tanzania, according to official figures. Trade between the two countries was worth 794 million dollars in 2007, 48.2 percent up on 2006.


My Take:
Thank you Mr. Jintao! Let me put this 21.9 in perspective:

a. The money stolen from the Bank of Tanzania (EPA account) in one year totaled 133 Million USD. Your AID is six (6) times less than what we were able to afford to lose. Which renders it irrelevant!

b. We bought a dual use radar from UK for about 40 Millions USD. Of that amount, 21Mil USD was diverted to Shaileth Vithlani (the dealer and broker) some of which ended in corrupt officials' pockets. Among them supposedly are Andrew Chenge (Former AG) and Dr. Idriss Rashid (former Bank Governor). This means, the amount of aid your country this morning could as well been easily given to Vithlani and his crook politician friends without causing any dent to our national economy or cause an outrage. Which still renders your aid irrelevant.

c. Our leaders bought a Gulfstream 550 for about 50 million USD. So, we we could afford to buy such a plane at that price, we could have well afford to get some 22 Mil. USD somewhere!

d. Of the money stolen from EPA account we were told that 70 Mil. USD was returned by the thieves and last week en directed towards agriculture. That amount is almost 3 times the money you gave us in aid at a fanfare with President Kikwete.

e. We are currently planning to carryout a new ID project for about 200 million USD. That amount is 9 times your aid today. If we can budget the use of such an amount of money without thinking of the cost, we might as well just get some 22 million USD from somewhere!

f. Last year when President Bush came to Tanzania he signed the biggest single foreign aid in the country worthy 978 Million USD. That is 44 times the amount you gave today.

What I am trying to say in such a hurry is that; we really didn't need your 22 million USD. You could as well just come and open the new stadium, walk around and fly back home! Mchango wako wa aid ni tusi kwetu lakini pia ni ushahidi wa fikra za kuombaomba!

My point is this, If we wanted we could as well built our own modern stadium - we have the money (remember it cost about 50 million USD). As a matter of fact we could have built a New Kirumba Stadium and and a new Jamhuri Stadium (We can pick either the one in Moro or the one in Tabora) as well as a modern Majimaji Stadium. And If we really felt like it we could have upgraded Mkwakwani as well as Amani Stadium (either one.. the Arusha one or the one in Zanzibar).

In short.. thanks for your kindness but no thank you!


Ndugu yangu katika post zooote...hii ya leo ndio imenifurahisha sana..well done bro!! hatuwezi tukaendekeza huu uomba omba bila bila sababu zozote za msingi..utakuja kutuletea shida mbele..tutalemaa!! this is enough..na sasa inabidi tuanzishe kampeni ya kuikataa hii misaada..maana naona inatuzidishia uvivu, shida, matatizo, na chuki badala ya maendeleo....
 
Labda M.M anisaidie kama nimempata, mimi nimemuelewa tofauti kidogo.....Nimeona kama anawakilisha ujumbe wake kwa njia tofauti kama aliyotumia bwana Mpoto kwenye mashairi yake ya ....'safari kwa mjomba'.
 
DAR ES SALAAM (AFP) – Chinese President Hu Jintao signed cooperation agreements with Tanzania worth more than 20 million dollars Sunday, covering agriculture, communications and technical cooperation.

The deals totaling 21.9 million dollars (17 million euros) were finalised after talks between Hu and his Tanzanian counterpart Jakaye Kikwete.

"It has been a great visit," said Kikwete, hailing the friendly ties between the two countries.

"China and Tanzania share a common position on many issues, particularly on global peace and development issues.

"We all want an early conclusion of the Doha Round of the WTO talks, which we regard as beneficial to most developing countries," he added in a reference to the World Trade Organization talks towards a new global free trade pact.

"At this period of global financial crisis Tanzania and many other developing countries look at China as a partner in solving our problems. It is our hope that China will be on our side."

Hu said that China had been "impressed by Tanzania's role in the search for peace and conflict resolution in neighbouring countries and throughout Africa," particularly during Kikwete's time as chairman of the African Union.

"China will continue working closely with Tanzania on many areas," he said.

Hu arrived here late Saturday on the third stop of a whirlwind African tour that has taken him to Mali and Senegal and that finishes on the Indian Ocean island of Mauritius on Tuesday.

His official welcoming ceremony included a parade, while he saluted in a statement 45 years of "exemplary" ties with Tanzania.

Chief among the newly signed deals was a 17.5-million-dollar (13.6-million-euro) agricultural agreement. It was particularly important for Tanzania, where 80 percent of the population depends on farming.

"The funds will largely be used to finance investments in agriculture, especially providing loans to importers of agricultural machinery," Tanzanian presidential spokesman Salva Rweyemanu said.

China also inked a 4.4-million-dollar agreement to rehabilitate the state radio and television channels in the island of Zanzibar; and another to send Chinese volunteers to Tanzania to work in various fields including health.

Hu later inaugurated a 56-million-dollar, 60,000-seat sports complex, financed mostly by the Chinese government.

After their talks Kikwete also made it clear that Tanzania supported Beijing's one China policy and thanked Hu for China's continued economic support.

Beijing's One China policy is its view that Taiwan is a breakaway territory awaiting reunification. China has waged a diplomatic offensive to persuade other countries to withdraw their ambassadors from Taipei.

A Chinese embassy statement issued earlier quoted the president as praising the "sound and smooth way" the bilateral relationship had developed since ties were established in 1964.

"It can be viewed as an exemplary relationship of sincerity, solidarity and cooperation between China and an African country and between two developing countries," Hu said.

China is one of the top 10 investors in Tanzania, according to official figures. Trade between the two countries was worth 794 million dollars in 2007, 48.2 percent up on 2006.


My Take:
Thank you Mr. Jintao! Let me put this 21.9 in perspective:

a. The money stolen from the Bank of Tanzania (EPA account) in one year totaled 133 Million USD. Your AID is six (6) times less than what we were able to afford to lose. Which renders it irrelevant!

b. We bought a dual use radar from UK for about 40 Millions USD. Of that amount, 21Mil USD was diverted to Shaileth Vithlani (the dealer and broker) some of which ended in corrupt officials' pockets. Among them supposedly are Andrew Chenge (Former AG) and Dr. Idriss Rashid (former Bank Governor). This means, the amount of aid your country this morning could as well been easily given to Vithlani and his crook politician friends without causing any dent to our national economy or cause an outrage. Which still renders your aid irrelevant.

c. Our leaders bought a Gulfstream 550 for about 50 million USD. So, we we could afford to buy such a plane at that price, we could have well afford to get some 22 Mil. USD somewhere!

d. Of the money stolen from EPA account we were told that 70 Mil. USD was returned by the thieves and last week en directed towards agriculture. That amount is almost 3 times the money you gave us in aid at a fanfare with President Kikwete.

e. We are currently planning to carryout a new ID project for about 200 million USD. That amount is 9 times your aid today. If we can budget the use of such an amount of money without thinking of the cost, we might as well just get some 22 million USD from somewhere!

f. Last year when President Bush came to Tanzania he signed the biggest single foreign aid in the country worthy 978 Million USD. That is 44 times the amount you gave today.

What I am trying to say in such a hurry is that; we really didn't need your 22 million USD. You could as well just come and open the new stadium, walk around and fly back home! Mchango wako wa aid ni tusi kwetu lakini pia ni ushahidi wa fikra za kuombaomba!

My point is this, If we wanted we could as well built our own modern stadium - we have the money (remember it cost about 50 million USD). As a matter of fact we could have built a New Kirumba Stadium and and a new Jamhuri Stadium (We can pick either the one in Moro or the one in Tabora) as well as a modern Majimaji Stadium. And If we really felt like it we could have upgraded Mkwakwani as well as Amani Stadium (either one.. the Arusha one or the one in Zanzibar).

In short.. thanks for your kindness but no thank you!
M Mwanakijiji, kumbuka chururu si ndo ndo ndo!
 
Kuna mmoja amemwita mwanakiji adui wa maendeleo lakini me nadhani jina linalomfaa ni adui wa "dependence syndrome" Mwanakijiji nia yangu pengine si kukusupport katika hilo lakini nadhani nimekusoma unachomaanisha. Infact nashawishika kwamba hata hao wanaokupinga wasingekupinga endapo usingekuwa wewe uliyesema hivyo. Ni huo uanakijiji wako ndio umepelekea kupingwa na hao waliokupinga.

China ni moja ya nchi zinazochuma mabilioni ya USd hapa kwetu mbali ya kwamba ni kwa kufanya kazi, lakini kiasi kikubwa ni kwa policies mbaya za uwekezaji zilizopo na mianya kibao ya kukwepa kodi. So kwangu mimi mbali ya kwamba msaada ni msaada me mwenzenu naona kama Jintao katutukana kabisa. To say a little sioni kama hata kulikuwa na ulazima wa kuja angetuma hata ujumbe tu ungetosha.Maana gharama za kumhandle raisi wawezakuta net ya huo msaada ni mil USD 17 tu. Huyu jamaa huko kwingine alikokwenda amesaini deal kubwa sana, mfano mmojawapo ni South Africa. Lakini pia huu uwe ujumbe wa raisi ambaye kwa maoni yangu anaamini katika mandeleo kupitia misaada kitu ambacho kimepitwa na wakati kwani hata hao wafadhili wetu tunapanga nao foleni IMF kuomba misaada.

Mungu isaidie Tanzania.

Tena kama nilisikia vyema walisema alikuja na ujumbe wa watu 140? ambacho sielewi akija na watu wote hao garama ya kuwa tunza ni kwa mwenyeji? ama wanajilipia?
 
Tulisahau tu kumwomba ile sheria yao inayoshughulikia wala rushwa wakubwa kama wanasiasa, watendaji wakuu wa serikali na taasisi za UMMA.
 
huo msaada,is totaly an insult,we dont need it,washitakiwa wa epa,wana mapesa mengi waliyotuibia,tukiyachukua hayo tunaweza kufanya mambo mengi sana,
hawa wachina wamejaa kila sehemu,wakifanya shughuli za umachinga ambazo hata sisi tunaweza kuzifanya,wanatuibia kinoma,nenda urafiki textile,kila spea mipaka mifagio inatoka china
 
Msaada ni msaada haina haja ya kuupiga teke,msaada hupokewa hizo milioni unazozungumza ni hewa hazijulikani zimekusanywa kwa miaka mingapi wala zimetoka wapi hivyo zinaweza kuwa nyingi zaidi ya hivyo unavyofikiria.Na wala hesabu zake hazijulikani zinatumika wapi na nani anezitunza ,ila kwa msaada utaonekana wapi unapelekwa na ukishamalizika hesabu zake zitakuwa zinaonekana ,tusitoe jeuri kwa mahesabu yasiyokuwepo mkononi ,wizi uliotokea ndio sababu ya kusaidiwa. Maana hata jirani akiibiwa na kuachwa mweupe hutokea wasamaria wema wakamsaidia ,hivyo Mchina ametoa kwa uwezo wake.Hujui Kikwete amefarijika vipi maana kwa hali ya uchumi wa Dunia kutoa fedha hiyo basi inataka moyo ,kwa kwetu na tulivyo si kidogo.

Penye uzia penyeza rupia kakak... huyu anapenyeza in advance tuu hapa
 
Chinese are no fools, its like luring us with something small so they can get something big in return!! Chinese are everywhere in Tanzania right now with their fake products, others are selling sandals at Kariakoo!! Charity begins at home, he could have used that 22M-USD to clear the pollution they are making with their fake products
 
Mimi binafsi initially nilifikiri ni 21.9bil USD? .....OK huu ni msaada kama misaada mingine? Ambacho hakiniingii akilia, msaada wa magnitude hii kuandamana or kusindikizwa na HU Jintao? rais wa taifa linalodhaniwa kuwa na uchumi mkubwa dunia?.....No sikubaliani naye kabisa.....hizo agreements angeweza kuzisaini balozi wake tu! Labda kama the main agenda ya visit yake ilikuwa tofauti kabisa na na hili la kutoa misaada!

Ok wengine wametaja eti, kiasi hiki ni kikubwa kusainiwa hasa ukizingatia dunia imekumbwa na CREDIT CRUNCH! Mbona babu Bush alimanage kusaini a record msaada was USD698 wakati alikuwa in the midst of Credit Crunch tena iliyoikumba nchi yake in particular?

Naungana namchangiaji mmoja aliyesema, ni bora tungefanya jitihada za recover hela zetu za EPA, Radar, Richmond etc zingetusaidia zaidi kuliko hizo zinazokuja na masheriti kibao....e.g mara utasikia, watalaam wa kilimo, mawasiliano etc watatoka china, na hapa tuwalipe kama experts kutoka kny that 21.9, bado utaambiwa agricultural inputs tununue China tena at inlfated prices....so at the end utaona masaada wote unarudi China. Sasa si bora tuhangaike kurecover hela zilizochotwa na mafisadi hapahapa, ambazo matumizai yake hayana masharti wandugu?
 
Sisi tunapenda kuomba lakini sisi hatupendi kuombwa, Ombaomba ktk jiji la Dar wote tunawatimua kila siku kwa sababu tukipita ktk mataa na mashangingi yetu wanatuomba.

lakini sisi kila siku njia na mguu kuomba, nawao wanajisikia hivyo hivyo kama wewe unavyojisikia ukikutana na ombaomba mtaani. Wangeweza na wao kukutimua lakini wao wamebuni njia mbadala ya kuzirudisha pesa zao kiaina na faida juu.

Watanzania jamani kuomba ni hasara kubwa tuache nawasihi tabia hiyo haifai
 
...Mbona babu Bush alimanage kusaini a record msaada was USD698 wakati alikuwa in the midst of Credit Crunch tena iliyoikumba nchi yake in particular?

...Mungu wangu, kumbe unaamini "msaada" ule wa Joji Kichalka ulikuwa bure bure tu? ...hujasikia kuhusu kusimamishwa ujenzi kwa wakazi wa Kigamboni? hujawahi sikia jinamizi linaloitwa OFCOM?

...Heri ya Nyerere aliyekuwa anaona mbali na kukumbatia misaada ya Wachina kujenga URAFIKI textiles mills etc etc kuliko hii misaada ("kwenye mabano") ambayo tunapokea toka kwa watu wenye ajenda za kivita zaidi mfano IRAN, na MAREKANI...

Kabla hatujageuzwa kama wakazi wa kisiwa cha Diego Garcia, ...tujiulize kwanini IRAN, MAREKANI na CHINA wanakimbilia kuisaidia Tanzania wakati huu, ...sio kuangalia kiwango cha misaada tu!!!
 
Tulisahau tu kumwomba ile sheria yao inayoshughulikia wala rushwa wakubwa kama wanasiasa, watendaji wakuu wa serikali na taasisi za UMMA.

WildCard,

Hili ndo kubwa zaidi. Ile sheria yao hata tukaitumia tu kwa mda wa miaka 10 basi! Je wangependa kutupa? Na tuko tayari kuitumia?

Ahsante mkuu!
 
Kama unadhani kuna taifa linalotuheshimu sisi wababaishaji(watz), fikiria mara mbili.

Hahahahaha! Yaani nimecheka peke yangu mpaka watu wamenishangaa!!! I love JF......Ni kweli, ukiwa mbabaishaji hakuna mtu atakuheshimu. Sana sana watakuwa wanakukebehi tu!

Mwalimu aliwahi kusema kwamba, umasikini ni mbaya sana, lakini umasikini wa akili ni mbaya zaidi!
 
Back
Top Bottom