You should have told me guys....!kwanin mmenifanyia hivi?.........

Ubachela ni ghali kuliko ndoa.......
tofauti ni kwamba gharama za ubachela unatoa kidogokidogo.
Ila hii ya kuingia mitini (bila kufanya sherehe) na ku'play deaf' inalipa...kama waweza vumilia mimacho ya watu.
 
hhaaaaaa jamani wewe acha uongo huo humwogopi Muumba weye???

Ooops! Hii keyboard yangu ina system ya Kijerumani....Naandika kitu kingine, kinatokea kingine! 🙂
 
Ooops! Hii keyboard yangu ina system ya Kijerumani....Naandika kitu kingine, kinatokea kingine! 🙂

mmh hujabadilisha hiyo keyboard tu......utajifunga bila hatia siku nyingine
 
Hatukuwa tufanya, bali tulikuwa tunaonja tu!
good boy!.......kama Adam na Hawa vile....ok we alikushawishi nyoka au BHT?

 
 
Ooops! Hii keyboard yangu ina system ya Kijerumani....Naandika kitu kingine, kinatokea kingine! 🙂

tena mwelezee NL vizuri maana ananiona mie muongo
 

Heheheeeeeeeee! .....hommmmmmie banaa! ngoja nikupe versie ya kihome home.......! kangalage ulimage, ulalya humwaha x 2!

Nilikwambia chupaaaa dirishani.......wenzio haaaaaah kwa raha zetu!
 
hapo kwa bold?????????? hahaaaaaaaa jamani leo umeniamkia haswaa

OK tell me one thing, wale walioenda Bomani, wakaunganishwa na Mkuu wa wilaya.....Je, wanazini au wanafanya uasherati? na je wale waliootana street wanafanya nini? na je, walioenda church.msikitini.....ile kitendo cha kumegana utakiitaje?
 
NL na Baht hamieni jukwaa la mambo ya kikubwa!
 
OK tell me one thing, wale walioenda Bomani, wakaunganishwa na Mkuu wa wilaya.....Je, wanazini au wanafanya uasherati? na je wale waliootana street wanafanya nini? na je, walioenda church.msikitini.....ile kitendo cha kumegana utakiitaje?

waliohalalishwa na sheria ya serikali au ya Mungu (msikitini au kanisani ) wafanya tendo la ndoa, waliookotana street wazini!!
 
NL na Baht hamieni jukwaa la mambo ya kikubwa!

why?? if you may clarify that??

hivi ya kikubwa na mapenzi na mahusiano yana tofauti??? nisameheni mwenzenu hata mwalimu wangu alinivumilia hivo mpaka nikamaliza darasa la saba!!!
 
waliohalalishwa na sheria ya serikali au ya Mungu (msikitini au kanisani ) wafanya tendo la ndoa, waliookotana street wazini!!

Unaweza rudia hayo maneno kwa faida ya Mzee wa Zenj?

Umeona kibatani eeeeeh ............?
 
NL na Baht hamieni jukwaa la mambo ya kikubwa!

.......we mzee wa Kyela bana...siku hizi kule kny jukwaa la wakubwa hata chekechea wanaingia.....huyu ungesema niende naye kule uani.......!

Vipi nasikia mpemba karibia akuchoropoke? don't worry JF limekuja ''re-rice''...kuna sredi yake hot huku........ha!hahahahaha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…