Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 180
......ok yaani kama mlivyokuwa mnafanya weye na Masaki kabla ya valangati........?nawalenga wale wanaozini !!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
......ok yaani kama mlivyokuwa mnafanya weye na Masaki kabla ya valangati........?nawalenga wale wanaozini !!!!
nawalenga wale wanaozini !!!!
......ok yaani kama mlivyokuwa mnafanya weye na Masaki kabla ya valangati........?
Angalia usijilenge
......ok yaani kama mlivyokuwa mnafanya weye na Masaki kabla ya valangati........?
Hatukuwa tufanya, bali tulikuwa tunaonja tu!
hhaaaaaa jamani wewe acha uongo huo humwogopi Muumba weye???
Ooops! Hii keyboard yangu ina system ya Kijerumani....Naandika kitu kingine, kinatokea kingine! 🙂
good boy!.......kama Adam na Hawa vile....ok we alikushawishi nyoka au BHT?Hatukuwa tufanya, bali tulikuwa tunaonja tu!
si muhusika hapo
Ubavu wako ulihusika.......!
Kama Evaaaaaaa!hatukuwahi kufanya hivo muulize Masaki aseme
hhaaaaaa jamani wewe acha uongo huo humwogopi Muumba weye???
Weye ndo humwogopi kabisa mungu......jana ulikataa tu kuwa hukuwa kutumia ...ile BUZZ or sorry Mobitel ya siku hizi.....mingine yote umetumia....tena leo wakataa?
good boy!.......kama Adam na Hawa vile....ok we alikushawishi nyoka au BHT?
Ubavu wako ulihusika.......!
kasema kibodi yake ni ya kijerumani
Kama Evaaaaaaa!
Weye ndo humwogopi kabisa mungu......jana ulikataa tu kuwa hukuwa kutumia ...ile BUZZ or sorry Mobitel ya siku hizi.....mingine yote umetumia....tena leo wakataa?
weeeee acha kunisingizia NL, nimekuuliza hasira za mgombea wenu ndo umalizie kwangu???????????????????????
Ooops! Hii keyboard yangu ina system ya Kijerumani....Naandika kitu kingine, kinatokea kingine! 🙂
weeeee acha kunisingizia NL, nimekuuliza hasira za mgombea wenu ndo umalizie kwangu???????????????????????
X-PIN,PAKAJIMMY,NGULI,CARMEL,BARBARITA,KAIZER,FL1,NEXT LEVEL,GKUNDI................!i am officially falling on your heads...!and this thread is for you guys.
YOU SHOULD HAVE TOLD ME JAMANI!KWANINI MLINITOSA?...i mean kwanin hamkunijuza kwamba the wedding thing is this much costly?...kwanini hamkunipa cost implications za harusi....?hakika mngenipa angalizo kwenye hili ''ningefikiria mara mbili'' juu ya maamuzi yangu,au pengine ningejipanga upya...
FIDEL80 NA JS...!hata kama ninyi ni ma super-bachelors kwamba mlikuwa hamujui?...sio inshu washkaji zangu,mngeniambia tu!...enewei..
BHT na ZD...!kwanin mliamua kuninyamazia kwenye hili?...mimi ningekuwa na gari yangu leo hii...poa tu mazee
MASANILO....!mwanawane umeniacha nimeangamia hivi hivi?....nimefulia kisa harusi?....poa tu mtu wangu
PRETTA,PRETTY,ANNINA,NANILIU,LILYFLOWER,SUGAR WA UKWELI,BABYLOVE.........!mmenitosa hivihivi.mngenitonya tu watu wangu mi ningejua itakuwaje,lakini poa tu
GEORGIEPORGIE...!dah!pamoja na lift zoote za tukutuku mbado uliamua kukaa kimya?.....dah haya bwana........
WATU WANGU MLIAMUA KUNIKAUKIA KWENYE HILI?......
....!i will never get married for the second time!...
DAMN COSTLY
Mpaka uombe msamaha.........!
hapo kwa bold?????????? hahaaaaaaaa jamani leo umeniamkia haswaa
OK tell me one thing, wale walioenda Bomani, wakaunganishwa na Mkuu wa wilaya.....Je, wanazini au wanafanya uasherati? na je wale waliootana street wanafanya nini? na je, walioenda church.msikitini.....ile kitendo cha kumegana utakiitaje?
NL na Baht hamieni jukwaa la mambo ya kikubwa!
waliohalalishwa na sheria ya serikali au ya Mungu (msikitini au kanisani ) wafanya tendo la ndoa, waliookotana street wazini!!
NL na Baht hamieni jukwaa la mambo ya kikubwa!