klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
- Thread starter
-
- #21
....hahahahaha, umeona ee? yaani mimi nilidhani tushamuacha 2011 kumbe 'kafichwa' na
SRM (Special Romantic Moments) sijui kwenye ka retreat ka wapi tu yarabi kufunga na kufungua mwaka,
...ama amefwaudu huyu jamaa dah!!
ngoja niendelee kumsoma na lyrics zake... kabla hajabadilisha tune.
Ni nadra sana kumsoma amefungua thread huyu! lol...
Ulijuaje? unafanya kazi X- ray nini?Eliza wa Tegeta.....!!
She is like an angel, amejawa na nidhamu
Her smile is special, maneno yake matamu
Highest above level, hakika hanishi hamu
Sticked her my label, awe wangu wa kudumu.
Akiwa karibu yangu, nothing I want more
Yakimkosa macho yangu, my heart always sore
Kama nyota na mbingu, please baby love me so
Wewe ni wangu wa tangu, its written in your eye brow
Love you have for me, ni dhahiri sio siri
"You won't abandon me", kila saa wakariri
"You live inside me" , wanipamba kwa shairi
"Ooh baby forgive me", mwepesi makosa kukiri
Nikizama niokoe, You are my only life jacket
Siri zetu usitoe , keep them inside your pocket
Wazembe wasikuzuzue, let them kick the bucket
Waachie wafulie , I will pay their docket
I have more to say , lakini sitomaliza
I hope its all okay , nahofia kukukwaza
Love is here to stay, nangoja kukuchombeza
Turn me on/ dont delay, nadhani nimemaliza.
Ni mimi malenga wenu klorokwini a.k.a "chizi fukara, kula kwa jirani"
WARNING: Guessing hairuhusiwi.
lol.... mmmmh jamani
hehehe The Boss bana, leo mie ni bubu bana.
Mmmmhh lahaula
granted
Mod is always right....lol
miss ya too love, heri ya mwaka mpya na wewe, msalimie bamkwe mtambuzi
Dah!...Kwahiyo inamhusu Lahaula?
Mkuu ndio kwanza nimetia timu leo hapa uraiani but nilikumbana nae mida skujua sio. Tnx for infor mwambahabari zako mkuu kloro unafahamu babu asprin ni mgonjwa?
sold out, lakini nimeweka oda kiwanda flani India wamesema itapatikana kabla pasaka. get ready.Zimefika!ulikumbuka kuniletea ile 9tdrec ya rimot!
ha ha ha mkuu moskwito, I plead the fifth
hehehe halaf wewe si niliskia uko continental (source: fellow tablet na kipipi), unairudi kanga moko laki si pesa?Habari yako ya kua uko honey moon nilijua ni beat tu!
aaisee.... This seals the information na kui-file kabisa!
Welcome to the club of being in Love... lol
heheeh hivi unatania lizzy? mbona kila kitu kiko wazi bana, unanilet down.Dah nae?
Haya bana.
nani kakupa kibali cha kufanya dayat? wengine tunapenda kuanzia kilo tisini kwenda juu bana, unahalibu canta@kloro,orait ila watumie msg uwaambie waipunguze kidogo kwan nimeshanya dayat km ulivotaka na sasa nimepungua!
lol.......hehehe..."guilty until proven innocent!"
haya kaka, umesomeka... ♪ endelea kushusha lyrics ♪
heri ya mwaka mpya blaki woman, mwanamke pekee ambae hatumii mkorogo east afrika mashariki na katiloya heri ya mwaka mpya
...astaghafirullah!
Ulijuaje? unafanya kazi X- ray nini?
Siku ile tunakufanyia Brain Scanning ndo nililisoma hili,nikakuuliza ukasema ndiyo.....
hamna siri duniani,utazitoa tu hata ukiwa mahutihuti....chezeya brain scanner sasa...!
many happy returns KH.Mr Kloro... happy to see you! Happy new year!
Mwaka huu ni kufunguka tu...🙂 All the best...:A S-coffee: