You title it.......


ha ha ha mkuu moskwito, I plead the fifth
 
Reactions: Mbu

habari zako mkuu kloro unafahamu babu asprin ni mgonjwa?
 
lol.... mmmmh jamani


hehehe The Boss bana, leo mie ni bubu bana.


Mmmmhh lahaula


granted


Mod is always right....lol


miss ya too love, heri ya mwaka mpya na wewe, msalimie bamkwe mtambuzi

Zimefika!ulikumbuka kuniletea ile 9tdrec ya rimot!
 
Habari yako ya kua uko honey moon nilijua ni beat tu!

aaisee.... This seals the information na kui-file kabisa!

Welcome to the club of being in Love... lol
 
@kloro,orait ila watumie msg uwaambie waipunguze kidogo kwan nimeshanya dayat km ulivotaka na sasa nimepungua!
 
Habari yako ya kua uko honey moon nilijua ni beat tu!

aaisee.... This seals the information na kui-file kabisa!

Welcome to the club of being in Love... lol
hehehe halaf wewe si niliskia uko continental (source: fellow tablet na kipipi), unairudi kanga moko laki si pesa?

Dah nae?
Haya bana.
heheeh hivi unatania lizzy? mbona kila kitu kiko wazi bana, unanilet down.

@kloro,orait ila watumie msg uwaambie waipunguze kidogo kwan nimeshanya dayat km ulivotaka na sasa nimepungua!
nani kakupa kibali cha kufanya dayat? wengine tunapenda kuanzia kilo tisini kwenda juu bana, unahalibu canta

hehehe..."guilty until proven innocent!"
haya kaka, umesomeka... ♪ endelea kushusha lyrics ♪
lol.......

loya heri ya mwaka mpya
heri ya mwaka mpya blaki woman, mwanamke pekee ambae hatumii mkorogo east afrika mashariki na kati
 
Ulijuaje? unafanya kazi X- ray nini?

Siku ile tunakufanyia Brain Scanning ndo nililisoma hili,nikakuuliza ukasema ndiyo.....

hamna siri duniani,utazitoa tu hata ukiwa mahutihuti....chezeya brain scanner sasa...!
 
Mr Kloro... happy to see you! Happy new year!

Mwaka huu ni kufunguka tu...🙂 All the best...:A S-coffee:
 
Siku ile tunakufanyia Brain Scanning ndo nililisoma hili,nikakuuliza ukasema ndiyo.....

hamna siri duniani,utazitoa tu hata ukiwa mahutihuti....chezeya brain scanner sasa...!

Halaf kuna mzembe alisema anakumaindi, mimi nilijifanya bro wako, nishamlia hela zake. Mjini apa bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…