Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,550
- 1,165
Isje kuwa umeniota ili nikasaidie hela ya kumkomboa excellent, manake nyinyi wadada kwa sapraiz bana .
Nilikumiss mpaka nikakugoogle, kulaleki!
Niliona hako kamkono kalipoishia. Raha kaumbiwa binadam jamenilol huyo keshazama wala mimi nimekuota coz nilikumic.Ulivyoni google uliona nini?
She is like an angel, amejawa na nidhamu
Her smile is special, maneno yake matamu
Highest above level, hakika hanishi hamu
Sticked her my label, awe wangu wa kudumu.
Akiwa karibu yangu, nothing I want more
Yakimkosa macho yangu, my heart always sore
Kama nyota na mbingu, please baby love me so
Wewe ni wangu wa tangu, its written in your eye brow
Love you have for me, ni dhahiri sio siri
"You won't abandon me", kila saa wakariri
"You live inside me" , wanipamba kwa shairi
"Ooh baby forgive me", mwepesi makosa kukiri
Nikizama niokoe, You are my only life jacket
Siri zetu usitoe , keep them inside your pocket
Wazembe wasikuzuzue, let them kick the bucket
Waachie wafulie , I will pay their docket
I have more to say , lakini sitomaliza
I hope its all okay , nahofia kukukwaza
Love is here to stay, nangoja kukuchombeza
Turn me on/ dont delay, nadhani nimemaliza.
Ni mimi malenga wenu klorokwini a.k.a "chizi fukara, kula kwa jirani"
WARNING: Guessing hairuhusiwi.
Niliona hako kamkono kalipoishia. Raha kaumbiwa binadam jameni
Dah! hii ndio konklusheni? lol"Kwa wewe ninaekudanganya!"
utaka replace na nini?, am ready to helptobaaa!nakatoa sasa hivi
heheh swahiba bana! mwaka mpya ratiba mpya..........kibwengo!!!
Kama haya ni kweli basi hafai kuwa rais lol
Mmiliki hakumbushiwi mali yake bana
Na yeye pia hafai kumiliki kama hatambui na hawezi kukidhibiti anachokimiliki .Anakumbushwa aisee. .
Maana nyingine hua zinataifishwa kimya kimya
Na yeye pia hafai kumiliki kama hatambui na hawezi kukidhibiti anachokimiliki .
Ekzaktle, na ikiwezekana ashtakiwe.Kwahiyo anyang'anywe kabisa?
Ekzaktle, na ikiwezekana ashtakiwe.
Unamtetea mhalifu?Loh.... Haya ntakua mtetezi wake.
Unamtetea mhalifu?
Mhalifu ana haki as long as unaweza kutwist uhalifu wake usionekane adhawaizi kama mambo hazarani haki yake kubwa ni jela. Huyu unaemtetea wewe ni beyond utetezi. Halaf mbona unamtetea sana? lolHata wahalifu wana haki jamani.
You of all people should know that lawyer. . .
Hahahah. . .basi simtetei tena kesi isije ikanigeukia mimi.Mhalifu ana haki as long as unaweza kutwist uhalifu wake usionekane adhawaizi kama mambo hazarani haki yake kubwa ni jela. Huyu unaemtetea wewe ni beyond utetezi. Halaf mbona unamtetea sana? lol
Miss You too mdada! Heri ya mwaka mpya mpendwa!..nimefurahi kukuona jamvini manake ulipotea ghfla kama klorokwini, kijana alikuwa mgonjwa bana ila Mungu si athumani wala the boss, amemjalia afya na uzima tele! Si umemwona anajivinjari jamvini?na umbea wako..lol..ina maana hujui ka ni mafua 2?....mie hata ckujua kama kijana anaumwa, threads za maombolezo ziliniteka haswaaa.....huyo kaomboleza klo kweli?...miss u mdada!