You will never think of life, death, yourself or the universe in the same way again

You will never think of life, death, yourself or the universe in the same way again

Kuna psycholojia inatumika ila kuwaogopesha watu wasihoji mbali zaidi juun ya uwezo wa alama mbali mbali katika ukimwengu huu...

They impose freemasonry kuwa ni watu wabaya ili watu welevu wafanya uchaguzi sahihi kwa kuzijua mbinu...

Ndo mana those who choose the right way, wapo katika another level of realm ila sisi wengine tunabaki kupiga domo tu jamaaa anafanikiwa bana sijui anafanya nini mpaka anafanikiwa...!!

Hii ni Saikolojia mbaya sana inapaswa itoke kichwani mwa watu juu ya kuwepo kwa alama zile...

Hazijawekwa ili kufurahisha jamiii...they serve a purpose ,tena kubwa sana...

Sent using Nokia 8 Plus
I could not agree with you any less. Dini na hofu ndiyo wachafuzi wakuu wa psychology ya mtu.
 
Kuna watu wanapenda sana mastory kama haya,kupenda sana jambo kuna wakati wengine kunazuia kuona mapungufu yake wengine tushapitia hii hali.
Katika kupitia "hii hali" kuna kitu ulikuwa unatafuta. Je?, ulifanikiwa kukipata au uliachia njiani baada ya kukosa majibu mepesi ya haraka na upungufu wa interest.
"Seek and ye shall find. Knock and it shall be opened, Ask and it shall be given to you".-JC
Maneno hayo yana maana kubwa sana sio kwenye mtazamo wa dini tu bali katika maisha ya mwanadamu na safari yake.
 
Swali gumu majibu mepesi!we huoni huo ni ubaguzi?vitu wagundue wao' bado shida zetu watutatulie wao mikopo inatoka kwao hadi hizi dini za kumjua yeye zimetoka kwao dah
emoji27.png
emoji27.png
vyote hivyo anashindwa kutuachia hata kimoja?

Sent using Jamii Forums mobile app

Ugumu wa swali hili ni kwako. Inaonekana hujaelewa nilicho kiandika.

Sasa naona unaingiza jambo ambalo ni tatizo kwako unalipigia mfano na kuona ya kuwa ni werevu,unatolea
zuri unachafua mjadala bwana! [emoji21]
Kivipi ? Poa sichangii tena nakuwa msomaji sasa.
 
Kirahisis tuu, bila dini ambayo inaambatana na imani hakuna confusion katika maisha ya mwanadamu. Hofu itokanayo na imani pia ni ugonjwa wa kupandikizwa. "Feel the fear and do it anyway".

Nakuuliza swali,wewe una dini ? Ujuavyo wewe kuna hofu aina ngapi ?

Kwa mujibu wa maelezo yako inaonekana wazi kabisa kuna hofu nyingine nje ya dini,je hofu hiyo ikoje ?

Naomba unipe mfano wa hofu iliyo pandikizwa na dini !
 
Nakuuliza swali,wewe una dini ? Ujuavyo wewe kuna hofu aina ngapi ?

Kwa mujibu wa maelezo yako inaonekana wazi kabisa kuna hofu nyingine nje ya dini,je hofu hiyo ikoje ?

Naomba unipe mfano wa hofu iliyo pandikizwa na dini !
naomba nikujibu kwa kifupi maana nina haraka kidogo. Sina dini. Kuna natural fear ambayo kila kiumbe anayo ambayo inaambatana na natural instict ya mwanadamu. Hofu inayoletwa na dini ni ya kumwogopa Mungu mwenye authority ya kila kitu. Logic suggests otherwise. Mungu tunafundishwa kumuogopa na hatumuogopi kwa kutumia instinct zetu..
 
naomba nikujibu kwa kifupi maana nina haraka kidogo. Sina dini. Kuna natural fear ambayo kila kiumbe anayo ambayo inaambatana na natural instict ya mwanadamu. Hofu inayoletwa na dini ni ya kumwogopa Mungu mwenye authority ya kila kitu. Logic suggests otherwise. Mungu tunafundishwa kumuogopa na hatumuogopi kwa kutumia instinct zetu..

Kwanza usiwe unatumia neno tamko "logic" kwangu mimi,samahani lakini sababu nina yajua madhaifu ya "logic"

Unaweza kunipa ushahidi ni wapi dini imefundisha kumuogopa Mola ?

Huku ukiwa unatafuta huo ushahidi,nakupa msemo mmoja wa waswahili unaosema hivi " Asie kujua hakuthamini". Huu msemo una maana sana,kama ukifikiria.

Sisi tunafundishwa kumjua Mola na kumtii,sasa unapoleta kauli ya kumuogopa inabidi utoe ushahidi. Rejea msemo huo juu utaelewa hapa namaanisha nini. Sasa kama kumtii Mola ndio kumuogopa,hii itakuwa maana mpya ya utiifu.

Ukijibu hilo swali,nitakupa ufafanuzi wa hayo unayo yadhani.

Nipo ...
 
Ugumu wa swali hili ni kwako. Inaonekana hujaelewa nilicho kiandika.

Sasa naona unaingiza jambo ambalo ni tatizo kwako unalipigia mfano na kuona ya kuwa ni werevu,unatolea

Kivipi ? Poa sichangii tena nakuwa msomaji sasa.
Umesema mola humpa amtakaye,ndo nakuuliza huoni anapendelea?mbona huku hatuna gunduzi?au we mwenzetu kuna ulichogundua manake hadi hizi dini tunazombania hii ya kweli hii ya uongo tumeletewa na wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesema mola humpa amtakaye,ndo nakuuliza huoni anapendelea?mbona huku hatuna gunduzi?au we mwenzetu kuna ulichogundua manake hadi hizi dini tunazombania hii ya kweli hii ya uongo tumeletewa na wao.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nilikwambia hivi ugunduzi sio lengo. Na suala la mtu kuwa mgunduzi ni kutokana na kile alichojikita nacho,ndio Mola ana mfanyia wepesi kwa kile anacho kipenda na huku kwa upande mwingine kuna kuwa na tahadhari kwa kile kibaya na kuhimizwa kwa kile kuyatensa kwa yale mazuri.Na kupewa huwa ni maana pana sana,kunazungumzia hali,mali na mengineyo katika sababu.

Hujiulizi kwanini wote si wezi,wala kwanini wote wacheza mpira,kwanini kuna uwili ? Mjifunze kufikiri kwa pande zote.

Wewe ushawahi kujilaumu kwanini umeumbwa mwanaume ?
 
Kwel kabisa mkuu, binadamu tumekuwa programmed kuperceive a very tiny fraction of the entire universe kwa hyo inakuwa ngumu kabisa kuelewa the reality of the universe.... the visble light we see is only 0.005% of the electromagnetic spectrum, the physical world that is hills,mountains etc is only 4% of the universe.

There are realms that coexist in the same space as us but we cant perceive them through any of our senses.

There is 96% that we cannot perceive with our own eyes. The reality that we see is just an illusion.

Albert Einstein once said "Reality is merely an illusion albeit a very persistent one”

Tafiti za kisayansi zimeprove kwamba the reality we perceive with our senses is actually a high convincing illusion!

And there are those who say... seeing is believing. It is because they actually don’t know that SEEING is the misleading field of perception!

If we open our minds to what we cant see, then we might rethink how much we know about reality.

Big up kwa thread yako mkuu [emoji1536]
mkuu wewe unaiona universe kwa jicho lipi?
 
Umesema mola humpa amtakaye,ndo nakuuliza huoni anapendelea?mbona huku hatuna gunduzi?au we mwenzetu kuna ulichogundua manake hadi hizi dini tunazombania hii ya kweli hii ya uongo tumeletewa na wao.

Sent using Jamii Forums mobile app

Lakini nasikitika sana mpaka muda huu hujanielewa,ile hoja ilikuwa imeweka wazi na kuonyesha Mola wetu si mbaguzi,ajabu hujaelewa nilocho kiandika. Isome tena na tena ile hoja,yaani iko wazi sana na imekamilika mno,japokuwa nimeielezea kwa ufupi mno.

Nipo ...
 
Nilikwambia hivi ugunduzi sio lengo. Na suala la mtu kuwa mgunduzi ni kutokana na kile alichojikita nacho,ndio Mola ana mfanyia wepesi kwa kile anacho kipenda na huku kwa upande mwingine kuna kuwa na tahadhari kwa kile kibaya na kuhimizwa kwa kile kuyatensa kwa yale mazuri.Na kupewa huwa ni maana pana sana,kunazungumzia hali,mali na mengineyo katika sababu.

Hujiulizi kwanini wote si wezi,wala kwanini wote wacheza mpira,kwanini kuna uwili ? Mjifunze kufikiri kwa pande zote.

Wewe ushawahi kujilaumu kwanini umeumbwa mwanaume ?
Mbona huku wapo wanaotaka kungundua vitu lakin hawafanyiwi wepesi?mmoja wapo mimi hapa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza usiwe unatumia neno tamko "logic" kwangu mimi,samahani lakini sababu nina yajua madhaifu ya "logic"

Unaweza kunipa ushahidi ni wapi dini imefundisha kumuogopa Mola ?

Huku ukiwa unatafuta huo ushahidi,nakupa msemo mmoja wa waswahili unaosema hivi " Asie kujua hakuthamini". Huu msemo una maana sana,kama ukifikiria.

Sisi tunafundishwa kumjua Mola na kumtii,sasa unapoleta kauli ya kumuogopa inabidi utoe ushahidi. Rejea msemo huo juu utaelewa hapa namaanisha nini. Sasa kama kumtii Mola ndio kumuogopa,hii itakuwa maana mpya ya utiifu.

Ukijibu hilo swali,nitakupa ufafanuzi wa hayo unayo yadhani.

Nipo ...
Naomba unipe neno mbadala kutumia badala ya logic. Inawezekana kabisa hilo lina madhaifu.
Pili, sina haja ya kutafuta ushahidi sana sababu hata katika hali ya kawaida kabisa tunapokuwa kwenye shughuli zetu, ukiuliza watu wanaokuzunguka katika jamii kama wanamuogopa Mungu? Jibu utapata ni Ndiyo. Utiifu kwa kuogopa au nidhamu itokanayo na hofu/woga. Hata mahakamani wanakuapisha kutumia vitabu vya dini ili uanze na hofu ya imani yako kwanza.

Chini hapo nimeweka baadhi ya mistari toka kwenye Biblia inayohusiana na swali lako. Kwa upande wa uislam naomba wenye hiyo mistari toka kwenye Quran wajibu kwa sasa.

Exodus 20:20- Moses said to the people, Do not be afraid. God has come to test you, so that the fear of God will be with you to keep you from sinning.

Luke 1:50- His mercy extends to those who fear him, from generation to generation.

Acts 10, 34-35: Then Peter began to speak, I now realise how true it is that God does not show favoritism but accepts men from every nation who fear him and do what is right.
 
Back
Top Bottom