Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Ukiwa Mchambuzi uchwara wa mpira usiohusiana na timu yako kwa makasiriko na kushuhudia usiowapenda wakivaa medali, wakinyakua golden shoes, na Kipa bora wa CAFCCL 2023 basi jipige kifuani mara 3 na kujiita "MBUMBUMBU"Yanga jana ukiachana na penalty waliyopata dakika za mapema kabisa hamna walichocheza baada ya hapo ubunifu zero,.. USMA walipoteza nafasi nyingi tu za kufunga mpaka penalty wamekosa.
NB:- Ukiona Kipa wako ndiyo anakua MAN OF THE MATCH, UJUE ULIZIDIWA.
Kilichowafanya muwe chini ya Yanga FC "Wananchi" kwa viwango vya timu bora Africa 2023 ni nini?Hahah sasa Uto kitu gani Special mmefanya mpaka mpate Kombe...?
Jamaa Kipa wao alikua likizo hajapewa changamoto compared na Diarra.
Kama mnajiweza jipangeni Champions league mkapambane na vidume msimu ujao.,, [emoji23]
Weka hapa idadi ya hayo makombe na Yanga iweke hapa ndipo utajua Makolokolo hana tofauti na Ke amsimangaye Mumewe si Dume ilihali tayari kashazalishwa Watoto na huyo huyo Me.Makombe ya ndani&ngao ya Jamii Mnyama ashachukua sana.,
Nikajua unazungumzia Kombe la CAF bhana [emoji23]
Hahahahaha umetisha jamaaUkiwa Mchambuzi uchwara wa mpira usiyohusiana na timu yako kwa makasiriko na kushuhudia usiowapenda wakivaa medali, wakinyakua golden shoes, na Kipa bora wa CAFCCL basi jipige kifuani mara 3 na kujiita "MBUMBUMBU"
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Waliikosa kwamba mpiga penalty alipaisha mpira, aligongesha nguzo ya goli au alipanguliwa na Kipa bora wa CAFCCL 2023?Na waarabu nao walipewa penalt walikosaa
Umesahau na hiiNatumaini wote ni wazima humu..
Nafurahi sana kuwa mshabiki wa yanga.
Popote napopita natembea kishujaa kwa kuwa yanga.
Mafanikio yaliyopata yanga msimu huu kifedha na kuwakilisha tanzania ni makubwa mnoo.
Big up ziende kwa viongozi wetu.
Wachezaji wetu.
Benchi la ufundi.
Nawapa pongezi mashabiki wote wa yanga kweli,popote mlipo piga kifua sema mimi ni yanga tena kwa sauti kubwa,ndio yanga kwani kuna timu tanzania itajilinganisha na yanga sasa??
Yanga ndo baba lao..
Hii historia ni kubwa sana, vizazi na vizazi vitasimuliwa kuhusu mafanikio ya yanga.
Hicho kizazi cha yanga kwa sasa ni kizazi cha dhahabu.
Mafanikio waliyapata yanga msimu huu hakuna timu tanzania iliwahi kuyapata kwame yanga kweli ndo timu no 1 tanzania kwa sasa.
Simba wenyewe hawapata tabu sana kwa mafanikio waliyopata yanga,yani wanajipa faraja kusema eti tumekutana na timu dhaifu.
Kweli kushinda mechi 5 ugenini.
Kushinda mechi kwenye ardhi ya mwarabu sio jambo la kawaida hilo.
Kama jana uliangalia mechi mwenyewe ulijionea upumbavu waliokuwa wanafanya hao waarabu.
Kuchelewesha mipira ya kurusha.
Kuwasha moto ovyo.
Kujiangusha ovyo ovyo.
Refarii hakuwa upande wetu kabisa.
Waarabu wanafigisu za kipumbavu sana.
Ila kwa yanga walichokifanya kila timu africa sasa inaogopa kukutana na yanga,
Sio nyumbani tu hata ugenini yanga ni noma.
Hii ndo timu itakayoleta ubingwa hapa tanzania ya kwanza.
Kitu nilichogundua jana yanga ndo timu inayopendwa sana.
Napigilia muhuri kwa kusema yanga ndo timu kubwa tanzania na africa mashariki.
Daima mbele nyuma mwiko.
Sio kipa bora, ni MAN of the match. Haya mashindano hayana kipa bora wala mchezaji bora, ni mfungaji bora tyuuh ndo iko.Waliikosa kwamba mpiga penalty alipaisha mpira, aligongesha nguzo ya goli au alipanguliwa na Kipa bora wa CAFCCL 2023?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kipa bora wa mechi sio wa mashindano!! Naona mmechanganyikiwa kwa kuchukua kombe la luza? Mngefika makundi ligi ya mabingwa Africa kwa akili zenu hizi za ushagoo si mngefanya sherehe mwaka mzima, na bi mkola na msaidizi wake wa msoga wangewapa mpaka vyumba vya kulala uko waliko waita kula ubwabwa!! Na gsm bila shaka angepewa tax holiday ya miaka kumi zaidi ya kutolipa kodi.Ukiwa Mchambuzi uchwara wa mpira usiohusiana na timu yako kwa makasiriko na kushuhudia usiowapenda wakivaa medali, wakinyakua golden shoes, na Kipa bora wa CAFCCL 2023 basi jipige kifuani mara 3 na kujiita "MBUMBUMBU"
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kumbe wenzetu mlikuwa kwenye mashindano ya CUF na mmekuja na medali za CUF halafu hamsemi?Wewe leta la cuf hapa sasa havi
leta medali. Hapa
usijilishe ujingaYanga kakutana na vibonde tupu mpaka alipofikia,kule champoins alikutana na Al hilal ya Ibenge yenye stricker butu akajambishwa akuvuka sikwambii angekutana na majini ya Mamelody,Raja au Al ahly.
Natumaini wote ni wazima humu..
Nafurahi sana kuwa mshabiki wa yanga.
Popote napopita natembea kishujaa kwa kuwa yanga.
Mafanikio yaliyopata yanga msimu huu kifedha na kuwakilisha tanzania ni makubwa mnoo.
Big up ziende kwa viongozi wetu.
Wachezaji wetu.
Benchi la ufundi.
Nawapa pongezi mashabiki wote wa yanga kweli,popote mlipo piga kifua sema mimi ni yanga tena kwa sauti kubwa,ndio yanga kwani kuna timu tanzania itajilinganisha na yanga sasa??
Yanga ndo baba lao..
Hii historia ni kubwa sana, vizazi na vizazi vitasimuliwa kuhusu mafanikio ya yanga.
Hicho kizazi cha yanga kwa sasa ni kizazi cha dhahabu.
Mafanikio waliyapata yanga msimu huu hakuna timu tanzania iliwahi kuyapata kwame yanga kweli ndo timu no 1 tanzania kwa sasa.
Simba wenyewe hawapata tabu sana kwa mafanikio waliyopata yanga,yani wanajipa faraja kusema eti tumekutana na timu dhaifu.
Kweli kushinda mechi 5 ugenini.
Kushinda mechi kwenye ardhi ya mwarabu sio jambo la kawaida hilo.
Kama jana uliangalia mechi mwenyewe ulijionea upumbavu waliokuwa wanafanya hao waarabu.
Kuchelewesha mipira ya kurusha.
Kuwasha moto ovyo.
Kujiangusha ovyo ovyo.
Refarii hakuwa upande wetu kabisa.
Waarabu wanafigisu za kipumbavu sana.
Ila kwa yanga walichokifanya kila timu africa sasa inaogopa kukutana na yanga,
Sio nyumbani tu hata ugenini yanga ni noma.
Hii ndo timu itakayoleta ubingwa hapa tanzania ya kwanza.
Kitu nilichogundua jana yanga ndo timu inayopendwa sana.
Napigilia muhuri kwa kusema yanga ndo timu kubwa tanzania na africa mashariki.
Daima mbele nyuma mwiko.