YOUNG AFRICA 2023 is unforgettable ever ever ever...

YOUNG AFRICA 2023 is unforgettable ever ever ever...

Yanga jana ukiachana na penalty waliyopata dakika za mapema kabisa hamna walichocheza baada ya hapo ubunifu zero,.. USMA walipoteza nafasi nyingi tu za kufunga mpaka penalty wamekosa.

NB:- Ukiona Kipa wako ndiyo anakua MAN OF THE MATCH, UJUE ULIZIDIWA.
Ukiwa Mchambuzi uchwara wa mpira usiohusiana na timu yako kwa makasiriko na kushuhudia usiowapenda wakivaa medali, wakinyakua golden shoes, na Kipa bora wa CAFCCL 2023 basi jipige kifuani mara 3 na kujiita "MBUMBUMBU"

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Hahah sasa Uto kitu gani Special mmefanya mpaka mpate Kombe...?

Jamaa Kipa wao alikua likizo hajapewa changamoto compared na Diarra.

Kama mnajiweza jipangeni Champions league mkapambane na vidume msimu ujao.,, [emoji23]
Kilichowafanya muwe chini ya Yanga FC "Wananchi" kwa viwango vya timu bora Africa 2023 ni nini?

Au umeamua tu kukaza fuvu ili nawe uonekane jinsi ulivyo PUMBA?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Makombe ya ndani&ngao ya Jamii Mnyama ashachukua sana.,

Nikajua unazungumzia Kombe la CAF bhana [emoji23]
Weka hapa idadi ya hayo makombe na Yanga iweke hapa ndipo utajua Makolokolo hana tofauti na Ke amsimangaye Mumewe si Dume ilihali tayari kashazalishwa Watoto na huyo huyo Me.

Timu yenye makombe mengi TZ Yanga FC.

Timu inayoongoza kuyafunga Makolokolo duniani Yanga FC.

[emoji28][emoji142]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Natumaini wote ni wazima humu..

Nafurahi sana kuwa mshabiki wa yanga.
Popote napopita natembea kishujaa kwa kuwa yanga.
Mafanikio yaliyopata yanga msimu huu kifedha na kuwakilisha tanzania ni makubwa mnoo.
Big up ziende kwa viongozi wetu.
Wachezaji wetu.
Benchi la ufundi.

Nawapa pongezi mashabiki wote wa yanga kweli,popote mlipo piga kifua sema mimi ni yanga tena kwa sauti kubwa,ndio yanga kwani kuna timu tanzania itajilinganisha na yanga sasa??
Yanga ndo baba lao..

Hii historia ni kubwa sana, vizazi na vizazi vitasimuliwa kuhusu mafanikio ya yanga.
Hicho kizazi cha yanga kwa sasa ni kizazi cha dhahabu.

Mafanikio waliyapata yanga msimu huu hakuna timu tanzania iliwahi kuyapata kwame yanga kweli ndo timu no 1 tanzania kwa sasa.

Simba wenyewe hawapata tabu sana kwa mafanikio waliyopata yanga,yani wanajipa faraja kusema eti tumekutana na timu dhaifu.
Kweli kushinda mechi 5 ugenini.
Kushinda mechi kwenye ardhi ya mwarabu sio jambo la kawaida hilo.
Kama jana uliangalia mechi mwenyewe ulijionea upumbavu waliokuwa wanafanya hao waarabu.
Kuchelewesha mipira ya kurusha.
Kuwasha moto ovyo.
Kujiangusha ovyo ovyo.
Refarii hakuwa upande wetu kabisa.
Waarabu wanafigisu za kipumbavu sana.

Ila kwa yanga walichokifanya kila timu africa sasa inaogopa kukutana na yanga,
Sio nyumbani tu hata ugenini yanga ni noma.
Hii ndo timu itakayoleta ubingwa hapa tanzania ya kwanza.

Kitu nilichogundua jana yanga ndo timu inayopendwa sana.

Napigilia muhuri kwa kusema yanga ndo timu kubwa tanzania na africa mashariki.

Daima mbele nyuma mwiko.
Umesahau na hii

•walikuwa wanarusha mipira mingi kwa wakati Mmoja uwanjani kupunguza presha ya mchezo

•Walikuwa wanawachokoza wachezaji wa yanga waondoke Kwenye focus

• walijiangusha hovyo uwanjani kuonyesha kuzidiwa.
 
VIVAAAAAAAA 💚💛💚💛💚💛
 
Majitu ya utopolo kama yamepagawa hivi!! Yameshindwa kuchukua ubingwa wenye timu dhaifu yamebaki kupiga mayowe tu,timu zote zilizoshiriki hii michuano nyingi zinapumulia mkiani kwenye ligi za nchi zao na wengine wameshuka daraja.

Utopolo kama mmeshindwa kuchukua huu ubingwa wa msimu huu uliokuwa umejaa vilaza mtaweza nini tena? Mmetumia kila aina ya silaha, uchawi,kupulizia sumu vyumbani,kuhonga marefarii waliokuwa wanakuja taifa, kuhonga timu pinzani dhaifu malumo na wapopo rivers ili waachie magoli lakini bado mmeambulia patupu.

Mlijaribu kuingia ligi za wanaume mkaishia kufurushwa tu kwenye round ya kwanza ila mmekaa kimya hamtaki kulizungumza hili!! Na msimu ujao mtacheza tena ilo kombe lenu la walioshindwa maana club bingwa mtagongwa tu kwenye hatua za awali.
 
Ukiwa Mchambuzi uchwara wa mpira usiohusiana na timu yako kwa makasiriko na kushuhudia usiowapenda wakivaa medali, wakinyakua golden shoes, na Kipa bora wa CAFCCL 2023 basi jipige kifuani mara 3 na kujiita "MBUMBUMBU"

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kipa bora wa mechi sio wa mashindano!! Naona mmechanganyikiwa kwa kuchukua kombe la luza? Mngefika makundi ligi ya mabingwa Africa kwa akili zenu hizi za ushagoo si mngefanya sherehe mwaka mzima, na bi mkola na msaidizi wake wa msoga wangewapa mpaka vyumba vya kulala uko waliko waita kula ubwabwa!! Na gsm bila shaka angepewa tax holiday ya miaka kumi zaidi ya kutolipa kodi.
 
Natumaini wote ni wazima humu..

Nafurahi sana kuwa mshabiki wa yanga.
Popote napopita natembea kishujaa kwa kuwa yanga.
Mafanikio yaliyopata yanga msimu huu kifedha na kuwakilisha tanzania ni makubwa mnoo.
Big up ziende kwa viongozi wetu.
Wachezaji wetu.
Benchi la ufundi.

Nawapa pongezi mashabiki wote wa yanga kweli,popote mlipo piga kifua sema mimi ni yanga tena kwa sauti kubwa,ndio yanga kwani kuna timu tanzania itajilinganisha na yanga sasa??
Yanga ndo baba lao..

Hii historia ni kubwa sana, vizazi na vizazi vitasimuliwa kuhusu mafanikio ya yanga.
Hicho kizazi cha yanga kwa sasa ni kizazi cha dhahabu.

Mafanikio waliyapata yanga msimu huu hakuna timu tanzania iliwahi kuyapata kwame yanga kweli ndo timu no 1 tanzania kwa sasa.

Simba wenyewe hawapata tabu sana kwa mafanikio waliyopata yanga,yani wanajipa faraja kusema eti tumekutana na timu dhaifu.
Kweli kushinda mechi 5 ugenini.
Kushinda mechi kwenye ardhi ya mwarabu sio jambo la kawaida hilo.
Kama jana uliangalia mechi mwenyewe ulijionea upumbavu waliokuwa wanafanya hao waarabu.
Kuchelewesha mipira ya kurusha.
Kuwasha moto ovyo.
Kujiangusha ovyo ovyo.
Refarii hakuwa upande wetu kabisa.
Waarabu wanafigisu za kipumbavu sana.

Ila kwa yanga walichokifanya kila timu africa sasa inaogopa kukutana na yanga,
Sio nyumbani tu hata ugenini yanga ni noma.
Hii ndo timu itakayoleta ubingwa hapa tanzania ya kwanza.

Kitu nilichogundua jana yanga ndo timu inayopendwa sana.

Napigilia muhuri kwa kusema yanga ndo timu kubwa tanzania na africa mashariki.

Daima mbele nyuma mwiko.

ha ha bila picha ya kikosi mkuu!

Kiukweli mimi Yanga lia lia msimu huu wamenifuta machozi kwa mengi.

Kubwa kabisa la kihistoria ni kushinda mechi mbili muhimu ndani ya ardhi ya Waarabu. Hapa wameonesha kuwa jeuri ipo, bahati imepungua.

Game on!
 
Back
Top Bottom