Jipigieni tu bomu mochwari
Mokoloz si mlikubaliana Yanga ya raundi ya pili ndiyo halisia kwa sababu mechi hazinunuliki kila timu inapambana kujinusuru sasa mbona unasaliti kamati ya makoloz ?Jipigieni tu bomu mochwari
.....Mechi imedharaulikaaa, au ni kwa sababu na wenyewe wanapitia maumivu kama hayo ya kwenu?ukishaona hadi mods hawaweki icon ya live ujue hiyo mechi imedharaulika sana
Wakati huwa anaanzisha uzi usiku wa manane
Umeona...hii timu yetu caf tujipange kweli lah sivyo aibuMimi ni yanga ila timu yetu bado sana, tunabahatisha bahatisha.
Hahahaaaa. Lol.Wakati huwa anaanzisha uzi usiku wa manane
unatesekea wap?Mimi ni yanga ila timu yetu bado sana, tunabahatisha bahatisha.
Subiria zamu yenu pale kirumbaJipigieni tu bomu mochwari
π€£π€£Mods nao mikia..π€£π€£π€£π ππ π€£
Ligi imeisha kitambo haya ni marudio tuukishaona hadi mods hawaweki icon ya live ujue hiyo mechi imedharaulika sana