Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Bila shaka 3+ imetoa 🤣Nyie Yanga fungeni nimewekeza mjue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka 3+ imetoa 🤣Nyie Yanga fungeni nimewekeza mjue
🏆🏆🏆Mbeya kwanza wanakaba mpaka vivuli
🏆 Tumeanza kutengeneza jezi za Champions 2021-22,nitakuletea huko NjombeJafeeee hajatokea kabisa, ila ametisha sana😂😂
Unafaa kumrithi Sheikh Yahya HusseinYanga 0 mbeya kwanza 1
Kivuli kipi?Mbeya kwanza wanakaba mpaka vivuli
Kwamba tungeskip hii ratiba kisa ni wa mwisho? Kumbuka mliwadhulumu hawa madogo TaifaMmepiga bomu mochwari
Mama J saizi mjamzito,msameheni jamaniTena mgegedo heavy zaidi ya ule wa mama J😂😂
Jafee Amezingua ila Katisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jafeeee hajatokea kabisa, ila ametisha sana[emoji23][emoji23]
Jafee😂😂😂Jafee Amezingua ila Katisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Baada ya ule mgegedo akapata na ujauzito juu? Aisee hongera zake 😂Mama J saizi mjamzito,msameheni jamani
Hajatokea Kabisa Af Si Ndo Tumetetema Kama Vile Yani [emoji23]Jafee[emoji23][emoji23][emoji23]
Afu tunajisifia tumeua😂😂😂 mkuu wewe, ila simba wasingethubutu hata kurusha hilo bomu huko mochwari.Mmepiga bomu mochwari
George Hawezi Kuwa Mpole Siku Iyo Atawakaripia Tu.Sasa tunawasubiri Geita Gold kesho kuwa wampasue KoloWizard.. then sie jumatatu tu tunampiga polisi na kutangaza Mabingwa mara 29
🤣🤣🤣Hukuwa anaenjoy tu,bali alikuwa na strategy piaBaada ya ule mgegedo akapata na ujauzito juu? Aisee hongera zake 😂
Wanatamba kuwa wamempiga mkali wa martial arts ambaye anapigana style za paka
Kuu ni jumanne na sio polisi bali ni Biashara unitedSasa tunawasubiri Geita Gold kesho kuwa wampasue KoloWizard.. then sie jumatatu tu tunampiga polisi na kutangaza Mabingwa mara 29
Kiukweli msimu ukiisha aachwe tu hamna kitu pale, pass nyingi anapoteza ....Huyu moloko tumepigwa pakubwa yaani mapepe mengi kila mechi makosa mengi.
Bado pointi 6 swahiba