Fene
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 2,824
- 4,447
Salaaam Wanamichezo
Ngoma ilianzia katikati ya msimu wa mwaka jana bwana mdogo Feisal aliejiona ni mkubwa kuliko timu akaambiwa dogo tulia huu ukubwa tumekupa sisi, na sisi tunaweza bila ya wew akabisha basi akaonjeshwa joto kidogo then akaruhusiwa asepe, Lakini Yanga haikuonekana kuyumba na alizionjesha joto timu mbalimbali za Africa,
Baada ya msimu kuisha watu wakadai Yanga alikuwa ni Mayele wengine wakadai ni Nabi wengine wakasema ni muunganiko wa timu akitoka mmoja tu hamna kazi.
Lakini katika kuonesha Yanga ni timu inayoendeshwa kwa akili zaid Nabi akaruhusiwa aende, Mayele nae bila kumsahau Bangala akauzwa
Upande wa pili mujifunze hili inasemwa Simba iliyokuwa bora ilikuwa ni ile ya miaka minne nyuma ambayo mastaa wake ni Chama na Miquissone, kuuzwa kwa mastaa hao ilitosha kabisa kutokea anguko la Wanalunyasi na ajabu yake katika kujitafuta kwake ili irudi ktk line imeona iwarudishe watu hao na bado mambo si mambo papatu papatu sio mchezo
Kuna funzo kubwa sana hapa
Ngoma ilianzia katikati ya msimu wa mwaka jana bwana mdogo Feisal aliejiona ni mkubwa kuliko timu akaambiwa dogo tulia huu ukubwa tumekupa sisi, na sisi tunaweza bila ya wew akabisha basi akaonjeshwa joto kidogo then akaruhusiwa asepe, Lakini Yanga haikuonekana kuyumba na alizionjesha joto timu mbalimbali za Africa,
Baada ya msimu kuisha watu wakadai Yanga alikuwa ni Mayele wengine wakadai ni Nabi wengine wakasema ni muunganiko wa timu akitoka mmoja tu hamna kazi.
Lakini katika kuonesha Yanga ni timu inayoendeshwa kwa akili zaid Nabi akaruhusiwa aende, Mayele nae bila kumsahau Bangala akauzwa
Upande wa pili mujifunze hili inasemwa Simba iliyokuwa bora ilikuwa ni ile ya miaka minne nyuma ambayo mastaa wake ni Chama na Miquissone, kuuzwa kwa mastaa hao ilitosha kabisa kutokea anguko la Wanalunyasi na ajabu yake katika kujitafuta kwake ili irudi ktk line imeona iwarudishe watu hao na bado mambo si mambo papatu papatu sio mchezo
Kuna funzo kubwa sana hapa