Young Africans SC yakodishwa rasmi kwa Yusuf Manji

Young Africans SC yakodishwa rasmi kwa Yusuf Manji

lkn kuna ile kitu ''utani wa jadi' naona kama utapotea? na ndio burudani kuliko mpira uwanjan. kila kheri Yanga
 
We unajua naingia game ngapi za Yanga pale Taifa? Au hujui kitendo cha kwenda uwanjani na kulipa kiingilio naichangia timu?

Proposal yangu ni kwamba Yanga iachane na huu mkataba.


Unachangia kea raha zako... silo kea manufaa ya klabu! Kwan Manji aingiagi mpirani.


kama wee unachangia mbona auidai Yanga sass?!?!
 
Katika huo mkataba kuna kipengele kinasomeka "Mkodishwaji atailipia YANGA deni la Shilingi bilioni kumi na moja na milioni mia sita na sabini na sita tu (Tshs. 11,676 billioni) inayodaiwa kama Mmiliki na Mkopeshaji mmoja."
Katika hiki kipengele kina jambo linatia mashaka, je ni kweli Yanga inadaiwa na Mkopeshaji mmoja peke yake au mtu (Mkodishaji) anataka kujilipa kiaina? Je ina maana watu walioikopesha Yanga hawana chao?
Upo sawa... maana yake ni kwamba kwa huyo mmoja mkudishaji ndo atalipa, lakini hao wengine wanaodaiwa watalipwa na Yanga Club. Maana klabu bado ipo na mapato mengine.

sijui umenielewa hapo???
 
5a7dff373ac236fea69c1fb4c6d13ac2.jpg
 
Hicho kifungu namba tano kimenishangaza eti watajenga uwanja kwa asilimia 25% watakazopewa kutokana na faida swali ni je hiyo 25% ya faida isipopatikana inamaana yanga hawatakua na uwanja kabisa? Mbona kama harufu ya ufisadi?
 
Ushafeli. Hujaelewa chochote hapa mkuu
Hicho kifungu namba tano kimenishangaza eti watajenga uwanja kwa asilimia 25% watakazopewa kutokana na faida swali ni je hiyo 25% ya faida isipopatikana inamaana yanga hawatakua na uwanja kabisa? Mbona kama harufu ya ufisadi?
 
Standard 1 read and understand article and bado unashindwa elewa chochote boss?! Weka mahaba pembeni uanze upya
Katika huo mkataba kuna kipengele kinasomeka "Mkodishwaji atailipia YANGA deni la Shilingi bilioni kumi na moja na milioni mia sita na sabini na sita tu (Tshs. 11,676 billioni) inayodaiwa kama Mmiliki na Mkopeshaji mmoja."
Katika hiki kipengele kina jambo linatia mashaka, je ni kweli Yanga inadaiwa na Mkopeshaji mmoja peke yake au mtu (Mkodishaji) anataka kujilipa kiaina? Je ina maana watu walioikopesha Yanga hawana chao?
 
Safi sana! Kilichobaki ni kuwapiga wang'oa viti 7-0
 
Standard 1 read and understand article and bado unashindwa elewa chochote?! Weka mahaba pembeni uanze upya au mpaka mkoloni akukimbize ndo uanze kuelewa?!
Sasa ndio unieleweshe wewe uliefaulu sio mkishalishwa kachori mnakuja kutetea hata usichokijua
 
Back
Top Bottom