Mbeleko fc
Uto fc
Miamala fc
Mbwa fc
Bakuli fc
Masufuria fc
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Usisahau magoli waliyonayo MAKOLOKOLO FC mengi ni ya penati kuliko yasiyo ya penati.Mbeleko fc
Uto fc
Miamala fc
Mbwa fc
Bakuli fc
Masufuria fc
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtani nii hii? Nimecheka km mwehu.
Cheka tu Mtani wangu. Sababu wenzetu hamkosi sababu atii. 🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtani nii hii? Nimecheka km mwehu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtani bhana sasa ndo utukejeli hivi? Sio poaa yaan, ila wale GGM hawakutaka kuvuka bhana.Cheka tu Mtani wangu. Sababu wenzetu hamkosi sababu atii. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakukumbusha tu mtani, nilikwambia kwenye ligi tayar ipo kwenye mikono yenu , nikakuambia jaribun ku face uhalisia wenu ili mjijue uwezo wenu n upi mjiandae kisawasawa kucheza huko Africa next season .. nilikutolea mfano nikasema , ukiondoa ligi. Mashindano mengine yote pamoja na mechi za kirafiki mme henyeshwa kweli kweli , nikakuambia pigien kelele viongoz wenu wapunguze bahasha za kaki mpate kikos cha maana mfanye vyema huko Africa ukakataa hakuna.. leo nayo n moja ya ushahidiCheka tu Mtani wangu. Sababu wenzetu hamkosi sababu atii. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi TU ila nadhani club ifanye kama ilivyofanya kwa mukoko easy unamtema next year au ajirekebishe kama NtibazonkizaHakika Mkuu. Yule ni kama anajiona yupo juu ya timu.
Hahahaaa! Lol[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtani bhana sasa ndo utukejeli hivi? Sio poaa yaan, ila wale GGM hawakutaka kuvuka bhana.
Baada ya kipa kukosa, ilibid wao wampe mahadhi apige wangeshinda, wao walimpa dogo yule khaah kawaangusha, hata mahadhi amekosa couz kipa wenu alishajiandaa kuokoa save zinazofuata.
Mie nawalaumu wao GGM hawakua serious bhana.
Hakika Mkuu.Basi TU ila nadhani club ifanye kama ilivyofanya kwa mukoko easy unamtema next year au ajirekebishe kama Ntibazonkiza
Najua Tutashinda ila Hofu Yangu Ni Kutokea Kwa Majeruhi Kwenye Hii Mechi Kuelekea Tar 30Ni mwendo wa kuruka Viunzi tu this April.
View attachment 2187325
Binafsi sijapenda mechi yetu kupelekwa trh 23. TFF na makolo wanaweza kufanya njama wachezaji wetu muhimu waumizwe ili trh 30 wasichezeNi mwendo wa kuruka Viunzi tu this April.
View attachment 2187325
Najua Tutashinda ila Hofu Yangu Ni Kutokea Kwa Majeruhi Kwenye Hii Mechi Kuelekea Tar 30
Si ajabu hii ni sehemu ya njama zao pia.Binafsi sijapenda mechi yetu kupelekwa trh 23. TFF na makolo wanaweza kufanya njama wachezaji wetu muhimu waumizwe ili trh 30 wasicheze
Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Afadhali aliyepewa penat 10 za halali kuliko yule aliyepata 2 za mchongo...Usisahau magoli waliyonayo MAKOLOKOLO FC mengi ni ya penati kuliko yasiyo ya penati.
Pia ni MAKOLOKOLO FC pekee ndiyo iliyotolewa wachezaji 14 kwa kadi nyekundu kuliko timu zote za NBC PL TZ [emoji28]
MAKOLOKOLO HOYEEEEEEE............[emoji16][emoji4]
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
MAKOLOKOLO HOYEEEEEEE [emoji1787]Afadhali aliyepewa penat 10 za halali kuliko yule aliyepata 2 za mchongo...
Mnanunua sana mechi UTOPOLO
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Wewe mpuuz sana zenu halali wakipata wengine sio halali?kapulize filimbi weweAfadhali aliyepewa penat 10 za halali kuliko yule aliyepata 2 za mchongo...
Mnanunua sana mechi UTOPOLO
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app