Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Haya ndo matokeo yetu jana.
Screenshot_20250301_071301_Instagram.jpg
 
Njoo tupeane update watu kwanini Wana ingia na magari mengi usiku?

Na kwanini watu Wana zuia wenzao kufanya mazoezi ya mwisho?

Kwanini TFF inazitetea sana izi team?
 
Mbona Makolo wanalia sana kuzuiliwa kuingia uwanjani usiku kwani walikuwa tafsiri gani? Walishindwa nini kwenda kufanya mazoezi mchana?
 
Back
Top Bottom