Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemekana CR Belouizdad wamevunja mkataba wake wamemnunua na Yanga wamekubali.Wakuu imekuwaje tena na Germany Machine?
Sa si bora tungebakia na Gamondi tu.
Ooh. Ahsante Mkuu.Inasemekana CR Belouizdad wamevunja mkataba wake wamemnunua na Yanga wamekubali.
tuliwaambia makolo wapige screenshoot msimamo wa ligi wakiwa wanaongoza,lakini awakutuelewa🤣🤣🤣 Inachoma kama pasi.
View attachment 3227409
🤣🤣🤣tuliwaambia makolo wapige screenshoot msimamo wa ligi wakiwa wanaongoza,lakini awakutuelewa
Wamenunaaaaaaaaa!Ina maana leo huu uzi hauna wachangiaji kabisa au mmenuna, gongowazi ninyi.
watu wametoka mbali na hii jf jamaniusitumie kichwa kubebea masikio...
kwa taarifa yako yanga ndo tanzania.
temeke kuna sehemu inaitwa "mwembe yanga" je umewahi kusikia mwembe simba?
kama huijui yanga usiihukumu wala kuweka maneno yako hayo machafu....yanga jana leo daima
Na hao wanaofuata tutawapa dozi kwa ukubwa huu huu.Wanaofuata wajeeeView attachment 3247109