Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye hizi mechi natamani tupigwe mechi nne ili viongozi washike adabu. Tayari moja tumeshapigwa na leo tupigwe na Mazembe, halafu Mashujaa, Tanzania Prisons. Hapo Hersi akili itamkaa! Amefanya upumbavu sana!Ratiba yetu Timu ya Wananchi kwa mwezi Disemba.
View attachment 3167292
Kweli kabisa Mkuu.Kwenye hizi mechi natamani tupigwe mechi nne ili viongozi washike adabu. Tayari moja tumeshapigwa na leo tupigwe na Mazembe, halafu Mashujaa, Tanzania Prisons. Hapo Hersi akili itamkaa! Amefanya upumbavu sana!
Viongozi wametukosea heshima sana aisee!Kweli kabisa Mkuu.
Mechi na Mazembe tumeponea chupuchupu tusubiri kesho napo.
Wametukosea kipi mkuu wangu@??Viongozi wametukosea heshima sana aisee!
Wanafukuzaje kocha katikati ya shughuli? Kwa Gamondi ninayemjua, Ibenge asingetoka pale kwa Mkapa!Wametukosea kipi mkuu wangu@??
Bonge la kosa.Wanafukuzaje kocha katikati ya shughuli? Kwa Gamondi ninayemjua, Ibenge asingetoka pale kwa Mkapa!
Nafikri hata wao wanajuta sasa hivi!Bonge la kosa.
Shemela umepoa sana, ila sasa tunarudi maana mpira unaonekana.Kweli kabisa Mkuu.
Mechi na Mazembe tumeponea chupuchupu tusubiri kesho napo.
Leo wametutendea haki kabisa. Kocha sasa tumuelewe, Gamondi alikuwa anatupoteza.
Futa hiiViongozi wakubali tu walifanya kosa kubwa sana kumuondoa Gamond ambaye aliwajua wachezaji na akaweka style ya uchezaji inayoendana nao,
Huyo mpya kaharibu kila kitu sasa tunaanza upya, siioni robo fainali hapa[emoji706]