π€£π€£ na badddo. πAfadhali aliyepewa penat 10 za halali kuliko yule aliyepata 2 za mchongo...
Mnanunua sana mechi UTOPOLO
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
π€£π€£π€£π€£ OYEEE.
Na kuna taarifa ambazo bado hazijathibitishwa kwamba mikia wameomba mechi ya trh 30 isogezwe mbeleSi ajabu hii ni sehemu ya njama zao pia.
Heee!! Kwa sababu gani tena Mkuu?Na kuna taarifa ambazo bado hazijathibitishwa kwamba mikia wameomba mechi ya trh 30 isogezwe mbele
Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Fresh Tu ila Hawataamini, Huu Msimu Tumedhamiria Kuwafanya Mbaya.Si ajabu hii ni sehemu ya njama zao pia.
Nakuona mbwa unabwekabweka.....luc eimel aliona vema,umbwa nyieWewe mpuuz sana zenu halali wakipata wengine sio halali?kapulize filimbi wewe
Mtani mi nipo nakula maraha tu huku unyamani,si unajua tena mambo ya kimataifa/international...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] na badddo. [emoji126]
Mi nakusalimia tu Mtani mana uliadimika hadi tukamiss hivi vichekesho. [emoji3]
Kolo unavyolalamika mahadhi kukosa penalty kama vile boko na kagere uwa hawakosi!Afadhali aliyepewa penat 10 za halali kuliko yule aliyepata 2 za mchongo...
Mnanunua sana mechi UTOPOLO
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Hakika Mkuu na tukimpa kichapo ndo ubingwa tutaufurahia vyeeema kabiisa.Fresh Tu ila Hawataamini, Huu Msimu Tumedhamiria Kuwafanya Mbaya.
Hahahahaaaa.Mtani mi nipo nakula maraha tu huku unyamani,si unajua tena mambo ya kimataifa/international...[emoji23][emoji23][emoji23]
Wenzetu barcelona,bayern munchen na chelsea wameaga mashindano sisi tunapasua anga tu.....
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Wacha Weee!! Haya bana poa poa Mtani. Mmefurahi kukuona.Mtani mi nipo nakula maraha tu huku unyamani,si unajua tena mambo ya kimataifa/international...[emoji23][emoji23][emoji23]
Wenzetu barcelona,bayern munchen na chelsea wameaga mashindano sisi tunapasua anga tu.....
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Eti wenzenu. Lol.Wenzetu barcelona,bayern munchen na chelsea wameaga mashindano sisi tunapasua anga tu.....
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Wanataka kujiandaa na mchezo wao na watoto wa kwa MadibaHeee!! Kwa sababu gani tena Mkuu?
Ooh!! Sawa Mkuu.Wanataka kujiandaa na mchezo wao na watoto wa kwa Madiba
Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Mkuu hii ni nzuri katika kitengeneza utimamu wa wachezaji. Ni mbaya sana kukaa muda mrefu pasipo kucheza mechi ya kimaahindano wachezaji wanakosa match fitness. Na pia kuna wachezaji wengi wametoka majeruhi ni ngumu sana mchezaji atoke majeruhi hakucheza mechi zaidi ya wiki tatu halafu aje apangwe kwenye derby hawezi perform. Hivyo hiyo mechi itasaidia wakina aucho na Feisali kuanza kupasha pashaBinafsi sijapenda mechi yetu kupelekwa trh 23. TFF na makolo wanaweza kufanya njama wachezaji wetu muhimu waumizwe ili trh 30 wasicheze
Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Mkuu samahani lakini we huwa ni timu gani?Mkuu hii ni nzuri katika kitengeneza utimamu wa wachezaji. Ni mbaya sana kukaa muda mrefu pasipo kucheza mechi ya kimaahindano wachezaji wanakosa match fitness. Na pia kuna wachezaji wengi wametoka majeruhi ni ngumu sana mchezaji atoke majeruhi hakucheza mechi zaidi ya wiki tatu halafu aje apangwe kwenye derby hawezi perform. Hivyo hiyo mechi itasaidia wakina aucho na Feisali kuanza kupasha pasha
Mwananchi asilia mkuu. YangaMkuu samahani lakini we huwa ni timu gani?
Ooh!! Poa poa Mkuu.Mwananchi asilia mkuu. Yanga
Jaribu kufatilia nyuzi zangu mkuu, utagundua kuwa ni Shabiki wa YangaOoh!! Poa poa Mkuu.
Nikawa najua we ni nguffu moya.