Ndio zimeshaisha tayari tangia jana.π―πππ ππππππππππ ππππππππ ππππππ ππππππππ ππ π³ππππππ π¬π πππππ
Swahiba makolo dish zimeyumba π,ule upumbavu walichofanyiwa na mo na genge lake iwapo kingefanywa na hersi wachambuzi wangepaliwa na mate katika kukosoaHiyo April Ifike tu Swahiba tuzidi kuwavuruga na viongozi wao.
Mana nasikia katika ahadi za Mangungu hadi wamempa Uwenyekiti ya kwanza ni kuifunga Timu ya Wananchi. Teh teh.
Jamaa hachoki kabisa. Kila jukwaa nalomkuta hajawahi kutoa comment positive
Pole yake. πJamaa hachoki kabisa. Kila jukwaa nalomkuta hajawahi kutoa comment positive
Hii ndo inaonyesha kwamba Watanzania tukipewa nafasi tunaweza pia.
Mi namkubali zaidi anapozifafanua kile alichokiweka kwenye hizo jezi sio wale wengine wanatengeneza jezi kulingana na rangi ya chupa za energy. [emoji23][emoji23]
Wakuu hii issue ya SportPesa imekaaje?
Ndo kusema Uongozi ulifanya maamuzi bila kuafikiana au sijaelewa yanayoendelea?
kolo's wanatakiwa wamuheshimu sana mzee rage kwa lile jina alilowapa πHiyo April Ifike tu Swahiba tuzidi kuwavuruga na viongozi wao.
Mana nasikia katika ahadi za Mangungu hadi wamempa Uwenyekiti ya kwanza ni kuifunga Timu ya Wananchi. Teh teh.
Ngoja tuone Mkuu huenda tukapata kauli itakayohitimisha haya ili kuondoa hii sintofahamu.Sidhani Kama Ni Kweli Yanga Walifanya Maamuzi Bila Ya Mawasiliano Na Sportpesa Juu Ya Hili, Na Hili Suala Hersi Alilizungumza Pale Pale Siku ile Ya Uzinduzi Wa Hizi Jeziβ¦Na Sidhani Kama Kuna Wanachofaidika Sportpesa Kama Yanga Akivaa Jezi Zenye Hiyo Visit Tanzania Kifuaniβ¦, Hivi Hela Kama 1.5B Mtu Unaiachaje Kwa Kucheza Mechi Sita Tu Za Kimashindano?
Kwanza ni bora wakae kimya mana wakiongea ongea hata huo Mkataba utafutiliwa mbali abaki GSM peke yake au Haier pale kifuani.Ngoja tuone Mkuu huenda tukapata kauli itakayohitimisha haya ili kuondoa hii sintofahamu.
Koloz wamehamia kwenye uanaharakati wa kutetea haki za matangazo wamesahau kesho pira mafuta lipo mjini, kesho baada mechi vilio na mayowe vita anza upyaNgoja tuone Mkuu huenda tukapata kauli itakayohitimisha haya ili kuondoa hii sintofahamu.
Umeonaeee! Hata kipindi cha Fei walihangaika hivi hivi mwishowe wakaambulia point moja kwenye mechi ya ligi.Koloz wamehamia kwenye uanaharakati wa kutetea haki za matangazo wamesahau kesho pira mafuta lipo mjini, kesho baada mechi vilio na mayowe vita anza upya
Hivyo Mkuu huenda kina Injinia wameenda kinyume na makubaliano na SportPesa au sijakuelewa?Kwanza ni bora wakae kimya mana wakiongea ongea hata huo Mkataba utafutiliwa mbali abaki GSM peke yake au Haier pale kifuani.
Kwenye international tournaments sportpesa hawapo, sasa leo tumepata mdhamini wao wanaumia na nn.Hivyo Mkuu huenda kina Injinia wameenda kinyume na makubaliano na SportPesa au sijakuelewa?
Ndo hapo sasa Mkuu.Kwenye international tournaments sportpesa hawapo, sasa leo tumepata mdhamini wao wanaumia na nn.
Kama ni hivi basi safi sana,ila SP basi wametukosea sana!
Hatunaga shabiki wa Yanga hana akili kama wewe!!!MIMI NI YANGA ILA HII SIMBA JAMAN ACHENI WACHEZE KIMATAIFA SISI TUCHEZE TU SHIRIKISHO LA WALIOFELI
FEISAL PLUS SPORTPESA[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]