Achana na mimi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sasa unanitolea mihasira yako kwani mimi ndio niliyekuambia ushabikie utopolo!!!!????
HUNA AKILIView attachment 2567136
Naona ushaanza kutuletea vile vichekesho vyako . 🤣🤣Muchonda hajagusa bolu huko,haya mkakate keki sasa maana nayo ni rekodi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bonyeza CAFCL 7 - 0Naona ushaanza kutuletea vile vichekesho vyako . [emoji1787][emoji1787]
Tubonyeze ngapi kupata vingine zaidi.
Wewe chizi kweli, andiko kama ilo hata mwendawazimu analiandika.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sasa unanitolea mihasira yako kwani mimi ndio niliyekuambia ushabikie utopolo!!!!????
HUNA AKILIView attachment 2567136
Sawa,kiandeWewe chizi kweli, andiko kama ilo hata mwendawazimu analiandika.
Hii ndio Timu ya Wananchi ninayoijua mimi sa.
Tumegawa na kadi kabisa. This is YangaMashabiki wamejiandaa kutupokea huko mjini Lubumbashi View attachment 2568669
Saa kumi jioni.Mechi saa ngapi leo?
Wanataka kumtransform Job awe full back badala ya centre back. Ngoja tuone