Ok bro karibuWekeeni passcode gu siredi gwenu...Hahahaha tulia mkuu furahia mmetoa draw.
ukikubali kucheza mpira kama wa mwenzako basi hesabu maumivu. Hiohuo wa yanga umesaidia kupata point 1Timu yetu mpira unaocheza hata auleweki
Wewe acha utani, mpira ni sayansi, hakuna nduba pale Lazima kocha awe ameusoma mchezo na kufaham nini cha kufanya? Ndiyo maana matokeo yakawa kama ulivyoona. Ni kweli kikosi cha simba ni kizuri kuliko cha Yanga. Sasa kocha wa Yanga ametumia utaalam wake.Kwa timu yetu hii mbovu inayoendeshwa kwa ndumba hatufiki popote!!!
Yanga kwa mpika wa leo na african lion kama nawaona mnavyoporomoka daraja walah mwaka huu hii ligi ni ngumu kwenu.
Kaa pembeni wewe mmruki hujui kituKwa timu yetu hii mbovu inayoendeshwa kwa ndumba hatufiki popote!!!
Wewe utakuwa mnyama FC......Kwa timu yetu hii mbovu inayoendeshwa kwa ndumba hatufiki popote!!!
Jirani atakuwa anajisikia vibaya, utasikia oo kipa, ooo umiliki wa mpira, sijui nini, lakini point 3 kibindoni tayari.Mdogo mdogo tu,
bila makelele.
Pwenti 16, baada ya kuzipasua mbao zilizo muumiza jirani.
kumbe umecheza ccm kirumba ukampasua mbao? ukienda huko rudi tupe mrejesho wa namna hiiJirani atakuwa anajisikia vibaya, utasikia oo kipa, ooo umiliki wa mpira, sijui nini, lakini point 3 kibindoni tayari.
Yanga huwezi kufananisha na timu zisizoeleweka, Hii ni yanga, kama wakufungwa ni kufungwa hakuna cha CCM kirumba wala uwanja wa taifa.kumbe umecheza ccm kirumba ukampasua mbao? ukienda huko rudi tupe mrejesho wa namna hii
Hahaaaa anasahau kuwa kwa sasa Simba ndio team yenye hela ndefu, walishindwaje kutoa mlungula wao?Duh unazi mbaya pana shabiki wa simba alinambia lile goli la ajibu kipa angeweza kucheza so inaonekana alipewa mlungula
Mbona kirumba mlipigwa 2 kavu acha unafiki kuwa mkweli. Ni kweli kafunga goli zuri lakini ni zilipendwa lilishapigwa na wachezaji kibao hapa bongo hamsemi.Yanga huwezi kufananisha na timu zisizoeleweka, Hii ni yanga, kama wakufungwa ni kufungwa hakuna cha CCM kirumba wala uwanja wa taifa.
Ni kweli angeweza kucheza iliwezekana kupewa mlungula ni mengine.Duh unazi mbaya pana shabiki wa simba alinambia lile goli la ajibu kipa angeweza kucheza so inaonekana alipewa mlungula