Daima mbele ,nyuma mwiko[emoji375][emoji375]
Karibu Mkuu. Ahsante. πππ
Hahahaha rada tena,rada za uchawi nn wazeeRada zipi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwiko Wa Ugali/UbwabwaKILA LA KHERI TIMU YA WANANCHI DHIDI YA LIPULI HAPO 16:00HRS
"DAIMA MBELE NYUMA MWIKO"
Tutaujua hiyo saa 10.
Ila we mchokozi sana ujue? Subiri saa moja utakoma.
Heeeee. π³π³π³ Kwani Mtani mnacheza saa 10?
Nyie hamuwazi mechi yenuHeeeee. [emoji15][emoji15][emoji15] Kwani Mtani mnacheza saa 10?
Sa mbona mie nimeiwaza?
π π π Nna tiketi mbili hapa uje nikupatie twende kwa MKAPA ukateseke.
Sitk[emoji28][emoji28][emoji28] Nna tiketi mbili hapa uje nikupatie twende kwa MKAPA.