π³π³π³Yanga ni kikundi cha singeli[emoji16]
Yaani ushindi wameushadadia hao mpaka wanatamani wao ndio wangekuwa KMC.
Yaani ushindi wameushadadia hao mpaka wanatamani wao ndio wangekuwa KMC.
Ujue bana Mtani hizi mambo kwa kuwa zimetokea kwa kufuatana hatuna budi kukubali tu maneno zenu zote sababu hata tungeshinda mngesema mganga kashikilia pale pale pa tarehe 08.Mtani nasikia eti jana waganga waliamua kuchukua goli lao hamjawalipa!
[emoji15][emoji15][emoji15]
WACHEZAJI HAWAKUJITUMA TANGU MAZOEZINI EYMAEL
Kocha Mkuu wa Yanga Luc Eymael amesema alikuwa na hofu timu yake isingefanya vizuri kwenye mchezo dhidi ya KMC jana baada ya kutoridhishwa na morali ya wachezaji mazoezini.
Akizungumza na wanahabari baada ya mchezo huo uliomalizka kwa Yanga kufungwa bao 1-0 na KMC, Eymael amesema wachezaji wake walijisahau baada ya ushindi dhidi ya Simba "Nilikuwa na wasiwasi kuelekea mchezo huu kwani sikuridhishwa na kile nilichokuwa nikikiona mazoezini," alisema Luc "Bahati mbaya kwa hapa Tanzania, timu ikishinda dabi wachezaji wanaona kama wametwaa kombe la dunia. Niliwatahadharisha wachezaji wangu kuhusu umuhimu wa kujituma ili kupta ushindi kwani mechi ya Simba haina tofauti na mechi nyingine zote tunasaka alama tatu" "Ni jambo baya sana kupoteza mchezo lakini wakati mwingine mambo haya hutokea, tunajipanga kwa ajili ya mchezo unaofuata".
Kikosi cha Yanga kinatarajiwa kuelekea mkoani Lindi kesho tayari kwa mchezo dhidi ya Namungo Fc ambao utapigwa Jumapili.
Wacha wee!![emoji106]
Nani kakwambia hawajapewa?Wanataka hela walizoahidiwa[emoji3][emoji3][emoji3]
Nani kakwambia hawajapewa?
Aah! Saa hizi naombea msimu uishe tu tusajili wachezaji wa kueleweka mana kwa sasa wengi ni vichefu chefu.Morali inatokana na pesa
Aah! Saa hizi naombea msimu uishe tu tusajili wachezaji wa kueleweka mana kwa sasa wengi ni vichefu chefu.
Unataka kutupa? πHela mnayo ya usajili[emoji16]
Unataka kutupa? [emoji16]
Hebu huko na wewe. πππ Corona wapelekee Simba.Sina labda niwape corona[emoji16]