Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Alivyokuja Makambo ni km ujio Wa Morison tuKile kilikua kifaa hasaa, na ni mchezaji mwenye hadhi na uwezo wa kucheza Yanga, sijui kwanini Papaa Zahera akamuuza, lakini hao wengine mliuziwa mbuzi kwenye gunia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Itakuwa bomba sana japo huwa nawaza je akija atapaform kama alivyokuwa msimu wa 2018 / 2019 au ndio anaeza akaja akachuja?Hahahaha, tutamrudisha huyu ,halafu tunawapa striker mwingine kiwango cha Morison
Hahahaha, kuchuja huko vipi si mnamtaka makambo ? Atarudi usihofuItakuwa bomba sana japo huwa nawaza je akija atapaform kama alivyokuwa msimu wa 2018 / 2019 au ndio anaeza akaja akachuja?
Unazipata wapi hizi habari Mtani?
Mahitaji yenu ktk timu ni mengi ,ila mmejaza sana watu hasa hizo kamati zenu , kiasi MTU akiwa na mchezaji mzuri mzunguko mkubwaItakuwa bora zaidi ikiwa hivyo mana hilo ndio hitaji letu kwa sasa.
Hahahaha, mtani hizo timu za kariakoo hazinisumbui kupata info zaoMtani ndio kusema unaijua mbele yetu ama?
Hapana Erick mchezaji ,ila huyo Yikpe hata mm na goti langu bovu na uzee huu haniweki benchIla Aliyewaleta Erick Kabamba na Yikpe Mungu anamuona aisee. [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Kweli kabisa. Japo nimeona video moja Morison anasema bado yupo Yanga.Alivyokuja Makambo ni km ujio Wa Morison tu
Na hata kuondoka
Hahahaaaa. Yes tunamtaka ila arudi na kiwango chake cha mwanzo.Hahahaha, kuchuja huko vipi si mnamtaka makambo ? Atarudi usihofu
Niliwaambia niwape striker yuko pale mazembe anazurula tu
Unajua tena Soka la Kiswahili Mtani hivyo tuvumiliane tu. Huenda hapo baadae tukabadilika.Mahitaji yenu ktk timu ni mengi ,ila mmejaza sana watu hasa hizo kamati zenu , kiasi MTU akiwa na mchezaji mzuri mzunguko mkubwa
Wacha wee! ππHahahaha, mtani hizo timu za kariakoo hazinisumbui kupata info zao
Hahahaaa. Pale walituingiza Chaka Mtani.Hapana Erick mchezaji ,ila huyo Yikpe hata mm na goti langu bovu na uzee huu haniweki bench
Tena wafanye mapema. Ila mfumo Wa mpira Wa bongo unachekesha sana. Hivi mchezaji kama Feisal anaingiaje ktk category hii kirahisirahisi tu? Ni wazi hatuna jicho pevu,Mana ndo yaleyale unaweza kuta msimu unaisha inajitokeza timu inamchukua for free tunabaki tunang'aa macho tu.Feisal Salum, Said Juma Mkapu, Japhar Mohamed hawa ikiwezekana wawaongeze tu Mkataba kwani kwa msimu huu wamekuwa bora zaidi ndani ya Kikosi.
Anazingua huyuItakuwa bomba sana japo huwa nawaza je akija atapaform kama alivyokuwa msimu wa 2018 / 2019 au ndio anaeza akaja akachuja?
Unazipata wapi hizi habari Mtani?
Hata na mie nimewashangaa sababu kuna wale wasiotutakia mema hapo lazima watapanga njama ya kutukomoa hivyo si ajabu wakaanza fitna mapema.Tena wafanye mapema. Ila mfumo Wa mpira Wa bongo unachekesha sana. Hivi mchezaji kama Feisal anaingiaje ktk category hii kirahisirahisi tu? Ni wazi hatuna jicho pevu,Mana ndo yaleyale unaweza kuta msimu unaisha inajitokeza timu inamchukua for free tunabaki tunang'aa macho tu.
π π πAnazingua huyu
Kwa sababu ni mchezaji mwenye umri Mdogo na inaonyesha kabisa ana potential kubwa sana,ilipaswa tumfunge na mkataba mrefu kidogo halafu kwenye huo mkataba tuweke kipengele cha kumuacha endapo kiwango chake kitashuka sana. Mana kwa hali ya sasa msimu ukiisha anaweza akajitokeza wakala akamchukua bure kabisa akaenda kumtafutia timu Hata nje na sisi tusipate hata sumuni. Au hata timu yoyote inaweza jitokeza na kumpa malisho mazuri zaidi lakini akaenda bure kabisa na sisi tusipate chochoteHata na mie nimewashangaa sababu kuna wale wasiotutakia mema hapo lazima watapanga njama ya kutukomoa hivyo si ajabu wakaanza fitna mapema.
Hahahaha, huyu si ndio alikua kasaini singida united kisha Mh Mwigulu akampeleka yangaTena wafanye mapema. Ila mfumo Wa mpira Wa bongo unachekesha sana. Hivi mchezaji kama Feisal anaingiaje ktk category hii kirahisirahisi tu? Ni wazi hatuna jicho pevu,Mana ndo yaleyale unaweza kuta msimu unaisha inajitokeza timu inamchukua for free tunabaki tunang'aa macho tu.
Hahahaha,kdg kdgUnajua tena Soka la Kiswahili Mtani hivyo tuvumiliane tu. Huenda hapo baadae tukabadilika.
Kwa mpira Wa bongo Makambo bado mzuri ,Yanga sio ya kukosa striker ukanda huuHahahaaaa. Yes tunamtaka ila arudi na kiwango chake cha mwanzo.
Striker gani huyo? ππ
Itakua vzr,pale mchezaji mnayeKweli kabisa. Japo nimeona video moja Morison anasema bado yupo Yanga.