Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Hata kama timu ikiwa nzuri namna gani haina maan kila mwaka lazima iwechukue ubingwa au ifike robo fainali. Tuliteleza kidogo tu kwa wale UD SongoIkawaje ukawa msimu ule tu sasa? Au hamjashiriki Kimataifa tokea hapo?
Halafu wanajiita wazee wa kumfuu. Lol.Kila wakisogeza pua wanakula "khamsa"
Oohoooo!!! Unaongea na simu Ses ama?Hata kama timu ikiwa nzuri namna gani haina maan kila mwaka lazima iwechukue ubingwa au ifike robo fainali. Tuliteleza kidogo tu kwa wale UD Songo
Hii midomo yenu ndio inatufanya tuhakikishe tunachukua ubingwa wa Ligi back to back zaidi ya mara 10 mfululizo na tulipanga tuwaachie kombe moja la FA sasa hamlipati.Halafu wanajiita wazee wa kumfuu. Lol.
Wasemage wali bahatisha tu tutawaelewa. Sababu wenzao walio level za juu huwa hawarudi chini zaidi ya kwenda juu.
Toka asubuhi sijacheka kicheko ka hiki hatimaye umenichekesha Mtani. Lol 🤣🤣🤣🤣🤣Hii midomo yenu ndio inatufanya tuhakikishe tunachukua ubingwa wa Ligi back to back zaidi ya mara 10 mfululizo na tulipanga tuwaachie kombe moja la FA sasa hamlipati.
Hahahaaa. Unadhania ni kitu rahisi Mtani.Hii midomo yenu ndio inatufanya tuhakikishe tunachukua ubingwa wa Ligi back to back zaidi ya mara 10 mfululizo na tulipanga tuwaachie kombe moja la FA sasa hamlipati.
HahahahaHahahaaa. Unadhania ni kitu rahisi Mtani.
Mfunge Azam na sisi tunalipiza kisasi kwa kagera kisha tukutane semi final halafu tuone nani ataingia final. [emoji41][emoji41]
Hahahaaaa!! Mtani hawa bila jannjja jannjja huwa hawana ubavu mbele yetu.
Hakuna njia yoyote ile kwa YANGA kubeba kombe la lig kwa miaka 10 mfululizo njia iliyopo ni kuliiba kombe tu.Toka asubuhi sijacheka kicheko ka hiki hatimaye umenichekesha Mtani. Lol 🤣🤣🤣🤣🤣
Panapo majaliwa usije ikimbia Jf tu Mtani. Mana nitalifukua hili kaburi. Teh tehHakuna njia yoyote ile kwa YANGA kubeba kombe la lig kwa miaka 10 mfululizo njia iliyopo ni kuliiba kombe tu.
Heheheheheheheeee!!! We tukebehi tu Mtani.Shadeeya kesho tunaanza rasmi kampeni yetu ya kumpokonya tonge mdomoni (kombe) Mnyama Simba.
Naamini timu yetu pendwa Yanga haitatuangusha kwenye hilo, muhimu tushinde tu mechi zetu zote halafu Simba apoteze basi tunachukua Ubingwa wetu kilaini kabisa.
Au unasemaje Shadeeya
Daima mbele 💪💪
Kati ya wafuatao ni yupi mwenye hati hati ya kupatà Magonjwa makubwa na ya hatari
(A) Mnywa gongo
(B) Mvuta bangi
(C) Kushabikia Yanga.
Mtani kama nakuona unavyoitamani kesho. LolMUNGU IBARIKI MWADUI
MUNGU IBARIKI KAGERA SUGAR
Hamna Shadeeya mbona naongelea uhalisia kabisa, Simba tayari pumzi ilishakata ndio maana tukawafunga siku ile unafikiri wangekuwa imara tungewafunga?Heheheheheheheeee!!! We tukebehi tu Mtani.
Utaja shangaa.