Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Naona leo ndo umeibuka. Lol
Sina cha kushangilia mm , Mechizo mitatu na suluhu moja inahitajika kua bingwa kati ya 9 iliyosalia, tayari n bingwa, huko hatuna shida napo.. yakiwakuta ya kuwakuta lazima nifurahi japo hamna madhara

by the way kwann mnamwacha GSM asepe??
 
Sijakuelewa hapa Mtani?
Juzi dodoma wanawafungulia tawi huko nilimsikia yule Eng anasema wanahitajika wanachama mil 1 wenye kulipa ada ya elfu 12 kwa mwaka, mtakua na bil 12 na club itakua mali ya wanachama sio imilikiwe na mtu mmoja akinuna tu hesabu imegonga mwamba

niliwah msikia pia akiongelea namna Madrid na Barcelona zinavyoendeshwa kwa mafanikio makubwa na hazimilikiwi na mtu binafsi.. jibu ni jepesi tu hawa jamaa WANAWAKIMBIA

swali langu ndio linakuja Kwann mnawaacha wawakimbie?
 
Hakika Mkuu mana hizi mambo hizi ndio mwisho wa siku zinaletaga Mpasuko ndani ya timu mana nimeona sehemu eti Morison anaanza mazoezi tarehe 18.

Unadhania wenzie wanajisikiaje hapo. Mabadiliko yaje ili hizi mambo zife yaani wachezaji wote wawe sawa.
Sahihi mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…