Kweenddrraaaa.Hahaa Chura wameishiwa wamebaki na historia za marehemu.
Utopolo ni mzigo
Bahati nzuri au mbaya kwa Chura FC wahenga hawadanganyi Shadeeya😀😀😀Hahahaa. Naona mmeanza kutumia vibaya kauli za wahenga.
Khaswaa, nilipiga kukualika tare 12.07.2020 pale kwa Mkapa. Usitie shaka huduma ya kwanza kwa watakaopata pressure inayosababishwa na ukali wa Mnyama itakuwepoVp ndio unipigia Ses ama? 😂😂😂
Club yeyote ikichukua ubingwa hilo swala ni swala la lazima, labda tu hamkua makiniHii Aione Danpol . [emoji41]
Hahaaaa tulia wewe zimebaki siku tatu Sriii deizii ( in mourinho's voice)Hahahahaa. Afadhali kisingizio tayari unacho.
Eeeeeehh Mungu baba msaidie huyu Shadeeya siku hiyo ya Jumapili aondoke kwa aibu uwanja wa Taifa, AMEEEEN.😀Hahahahaaa. Wapi jumapili tarehe 12.07 💃💃
Srii deizzi ndio. Jiandae kwa maumivu.Hahaaaa tulia wewe zimebaki siku tatu Sriii deizii ( in mourinho's voice)
Simba nguvu moja
vaysi verisa izi turuuu 😂😂Eeeeeehh Mungu baba msaidie huyu Shadeeya siku hiyo ya Jumapili aondoke kwa aibu uwanja wa Taifa, AMEEEEN.😀
😀😀 nyie ndio mtakuwa wa kwanza kupewa hiyo huduma.Khaswaa, nilipiga kukualika tare 12.07.2020 pale kwa Mkapa. Usitie shaka huduma ya kwanza kwa watakaopata pressure inayosababishwa na ukali wa Mnyama itakuwepo
Usikariri Shadeeya, siku zote sio Alhamisi ujue. Msiingie uwanjani na mawazo ya March 8, mtapoteana buuuree muanze kuitana like jina lenu lile, Uto nini vile?😀😀😀😀😀 nyie ndio mtakuwa wa kwanza kupewa hiyo huduma.
Siriii deyis zimebakia tuombe uzima.Usikariri Shadeeya, siku zote sio Alahamisi ujue. Msiingingie uwanjani na mawazo ya March 8, mtapoteana buuuree
Inshaallaah, usogee huku ili tupinge🤪Siriii deyis zimebakia tuombe uzima.
Leo Shomary Lawi hayupo sijui tutashinda?KILA LA KHERI TIMU YA WANANCHI DHIDI YA KAGERA SUGAR HAPO 16:00HRS.