Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Kama alitoka huko kwao kuja kuufuata ni dhahiri anatapatapa tu.

Nina hakika bila Yanga hata musingemuona.
Hata Luis Mick pia, nyinyi ndio mlituonyesha.. tunawashukuru kwa haya

ila Ntani, walai tutawapiga, tutawapiga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], tutawabonda haswa
 
Mil 200 GSM wanazitoa wapi kwa mchezaji mmoja
hao ndio gsm wako tayari kutoa mil 150 kwa mwamnyeto ambae haijulikani yanga atapafomu au atadrop kuliko kumbakiza Tshishimbi kwa mil70 au juma Abdul kwa mil30
hivi juma abdul alivyoipigania yanga msimu huu ni wa kumuacha vile kweli mnataka timu iwe na wageni tupu kweli

Haya nasikia azam wanataka fei kwa.sure boy mbadilishane

Sent from my M4 using JamiiForums mobile app
 
Ntani..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], hivi mna uhakika kina Fei toto mikataba yao iko fresh ..huchelew waona msimbazi
Aaah!! Washanichosha hawa.

Ngoja niyaangalie tu sasa kama naye hana huo mkataba asepe pia. Tutafanyaje sasa.
 
Ipo haja Mtani. Na hata yule Injinia nimeshamshusha thamani. πŸ˜•πŸ˜•πŸ˜•

Danpol alishawahi kuyasema haya [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] Tunapoelekea nitamwamini.
Umekumbukaee ?? hao jamaa sio wa kuwaamini, ..niliwasikilizaga mara mbili nikaja hapa nikasema GSM sio wa kuwaamini sana , muwe nao makini

La Papy Kabamba halijaisha wakati mlipewa hadi video, la Ben hili hapa tena
 
Na ligi msimu huu itawahi kuanza wawe makini wasishuke daraja tukakosa wa kumtania
mashabiki na viongozi vitu viwili tofauti,, hasa ikifika mambo ya biashara mezani,

sisi tuendelee kushabikia na kuzomea tu,,


siku zote ukweli humuweka mtu huru,

dhahiri shairi mashabiki wameumia kwa hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…