Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Yanga yamtaka Msemaji wa Azam Fc athibitishe tuhuma zake dhidi ya Yanga Sc

Klabu ya Yanga kupitia kwa afisa habari wake Hassan Bumbuli imemtaka afisa habari wa Azam Fc atoe uthibitisho wa madai yake mara moja na akishindwa kufanya hivyo basi itamchukulia hatua kali za kisheria.

Bumbuli amesema kuwa kumekua na tabia ya wasemaji wa timu pinzani kutafuta kiki kupitia Yanga Sc ambapo Hassan Bumbuli amesema tabia hiyo wanataka ikome kwa kuanza na Zakazakazi.

Afisa habari wa Azam Fc ameituhumu Yanga kuandika barua ya mchezaji wa Azam Fc Salum Abuobakar "Sure Boy" kwenda kwa Uongozi wa Azam Fc barua hiyo ikisema Sure Boy anaomba kuondoka Azam Fc.

Bumbuli amesema kuwa Kama Zaka za Kazi atashindwa kumtaja huyo mtu wa Yanga aliye peleka barua Basi ajiandae kujibu mashitaka.

"Kumekuwa na tabia ya wasemaji wa timu nyingine kutembelea nyota ya Yanga ili wapate umaarufu mitandao, hii tabia tunataka ikome kuanzia Sasa tuta deal nao bila kusita" - Hassan Bumbuli- Afisa Habari Yanga Sc
 
Hivi Simba kwenye ile kesi munahusika upande gani mbona kama kesi mumeivaa nyie wakati ni ya Yanga na Morison?
 
Baada ya Manara kukanusha kuhusu chama, Deo kanda nae akanusha, what a disappointmen, chama wenu na deo kanda ni yule kimwana shomara.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1532814
Hahahahaaa. Na badooo!!

Mtawasearch sana nini wameandika this time. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hivi Simba kwenye ile kesi munahusika upande gani mbona kama kesi mumeivaa nyie wakati ni ya Yanga na Morison?
Tunaona danganya zenu...lazima tutie pressure, lazima rungu liwapate, hamna pa kujificha

Hapo hapo .. mna msala na azam, mna msala na Mtibwa..

told you about GSM, kuweni nao makini sana, mtajikuta ligi moja lipuli sasa hivi
 
Mtani

Vipi akiwa Katibu Mkuu na Mratibu Mkuu wa mabadiliko kuelekea Yanga mpya ,si itapendeza ?

Sekretareti ya sasa iwajubike kwake
Aanze na Kocha ,amalizie usajiri
Apange sasa utaratibu mpya kazi isonge

Sent using Jamii Forums mobile app
Itapendeza zaidi japo nawaza hakuna taratibu kweli za mtu kuwa Katibu Mkuu hasa kwa upande wa Wanachama katika kuhusika kumuidhinisha?

Au ni uongozi tu ndio unaamua fulani awe Katibu Mkuu?
 
Fredrick Mwakalebela aliwaonya mapema huu uhuni wa kufoji mikataba mkamuona zuhu.
TFF lazima itoe fundisho kwenu leo.
Mtani hivi kule Wasafi waliishia wapi eti kuhusu hili? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Senzo pale yanga Hana kazi ya kufanya..
Atakuja kujuta maana kaacha godoro kaenda kulalia mkeka.
Huku simba alikuwa CEO yaani kwa cheo chake hakuna pale yangaa anayemfikia hata huyo msola hakuwa anamfikia.
Leo kaacha cheo chake sijui mmemroga kaja kugombea umwenyekiti na msola huko yanga
Hyo ni akili?
Mtani tutawasumbua sana kipindi hiki. Halafu eti mkikaa mnasema Senzo ni nani wacha aende Lol?

Hii kufuatilia nini Yanga imeandika kuhusu Senzo ni dhahiri mnaumia sana kwa alivyosepa.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Hahahahahahahahah Mkishinda hii kesi ya Morison leo.
Najipiga BAN ya maisha JF.

Nb.
Ujanja ujanja wenu na GSM leo umefika mwisho.
Unakimbuka uliwahi sema Utatembea na nani sijui kama Simba itafanyaje vile? πŸ€” Unakumbuka? Je ulifanya.

Kabla hujajipiga Ban Jf hebu kaifanye ile kwanza Mtani. πŸ˜€
 
Alafu nyinyi Yanga, kila siku nawaonya kuhusu GSM.. ni wapi hivi wametanganza Senzo ni mwajiriwa wenu au hata GSM ? tulieni kwanza, unaweza shangaa anatupwa kwenye kampuni za GSM Zambia huko
Halafu mkikaa eti oooh. Senzo anacheza namba gani. 🀣🀣🀣🀣

Wakati kawauma mbaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…