Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Bado kuna barua waliyoifanya kama vile imeandikwa na mchezaji Sure Boy, kumbe wameiandika wao, mesenja akajichanganya akaipeleka ofisini kwa Azam badala ya kumpa Sure Boy apeleke mwenyewe. Kuna kesi inakuja, Azam wanajipanga
Ni antonio nugazi nini.Yule msomali anayejiita engineer,ni kweli engineer?au ndo kama kina Prof J ?Viongozi Yanga matapeli tupu. Hakuna professionalism.
 
Ila kuna haja ya uongozi kutudadavulia yaliyoendelea huko kwa kweli.

Tulishasema tangia mwanzo mikia sio wajinga. Haya sasa inabakia aibu tu.
Pigia mstari hapo kwenye maneno SIO WAJINGA.
na ukisema hivyo ina maana wajinga wapo[emoji196][emoji196][emoji196]

Uneducated
Dog
Monkey
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Pigia mstari hapo kwenye maneno SIO WAJINGA.
na ukisema hivyo ina maana wajinga wapo[emoji196][emoji196][emoji196]

Uneducated
Dog
Monkey
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Kama Yanga mmeona sisi Simba tutafaidi sana kuwa na Bernad Morison na nyie kamchukueni Bernard Membe.
 
We mtani pekeako ndo haupo kwenye kundi alilolisema Luc, hivi kwa nini ulianza kushabikia Utopolo
Dingi huyo yaani anaipenda Yanga mbaya. Miaka hiyo nipo nyumbani ilikuwa Yanga ikishinda ujue siku hiyo kama ni soda tutanunuliwa za kutosha na ikitokea imefungwa basi ujue siku hiyo asikosewe kwani ikitokea ni kichapo ndo kitatembea.

Basi tangia hapo na mie nikajikuta naipenda Yanga tu kwa kweli japo kuna mwaka fulani niliwahi kujaribu kuhama lakini nikashindwa aisee.

#Wachainiue. 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…