Nasikia Onyango katua tu na kuandikishwa TASAF!!ukiacha BARAZA LA MAWAZIRI, pia kuna BARAZA LA WAZEE pale msimbazi. Babu Kagere na Mzee Onyango wanaongoza hatamu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Simba sasa ina sifa zote za kuwa "Ancestors FC".
Subiri siku simba inacheza, hakikisha unawahi uwanjani, utamwona akiwa buheri wa afya tena akiwa anapata ukwaju baridi.*TANGAZO LA KUPOTELEWA*
_
_NDUGU WANA GROUP NASIKITIKA KUTANGAZA KUPOTELEWA NA BABU YANGU MWENYE UMRI WA MIAKA 63. MARA YA MWISHO ALIVAA SHATI LENYE RANGI YA UGORO NA SURUALI NYEUSI. KWA YEYOTE ATAKAYEMUONA NAOMBA TUWASILIANE KUPITIA KWENYE GROUP HILI. NA PIA KWA WALE WALIOPO DAR ES SALAAM NAOMBA WANISAIDIE KWA KUPITA KWENYE MAJENGO YANAYOHUSU KLABU YA SIMBA TAFADHALI. NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU![emoji120]__
Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri siku simba inacheza, hakikisha unawahi uwanjani, utamwona akiwa buheri wa afya tena akiwa anapata ukwaju baridi.
KabisaaKwakweli itakuwa aibu ya mwaka kufungwa na wastaafu
Wastaafu FC. lolMTU mzima hatishiwi Nyau.
Simba nguvu moja
Simba bingwa CCL 2020/2021
Hiyo si sababu Mtani na ndio maana hata kipindi Lamine anakuja kwa Wananchi mlisema oooh hamna kitu hapo oo mara sijui alikuja majaribio kwenu mkamuona kiwango kiko chini lakini unamuona sasa hivi alivyo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] asante.. lakn nikujuze tu Papa Molinga alikua bora kuliko huyo mshambuliaji wenu , mwaka mzima hana goli
ila ligi yao kule huenda ni ngumu, who knows, anaweza fanya vizuri
Utaishia kufurahia usajili tu...Naamini ndo itakavyokuwa Mtani. Yaani nitanenepa huu msimu.
Hahahaaa. Wakajua wakimpeleka saluni Onyango atarudi kuwa kijana. Teh teh.Makazi ya wazee fcView attachment 1541035
Oooh!! Mtani hapa nilikuwa namsemea yule Masoud Jumaa si mrundi naye?Yule mtanzania, saizi yupo magharibi anafundisha Academy
Wastaafu FC. LolππππTuna washambuliaji ambao ndani ya miaka mitatu wana zaid ya goli 120 kwa pamoja..hatuwez kwenda hangaika na mtu wa kufunga goli level za molinga..huyo ni saiz yenu
ππUwezo wa kulewa au?
We waache waje na goli zao mfukoni wakidhania kila siku ni jumapili hapo ndio watakaporudia yale ya miaka ileeee.Timu ya wananchi ..#Nguvu moja msimubujao tunaenda kupindua meza..
Mkia wajipange
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Sidhani.Utaishia kufurahia usajili tu...
Hata Mie natamani,uwe na furaha msimu mzima mtani japo haiwezekani [emoji23]Sidhani.