Maandalizi yenu yatakua yakusuasua km msimu uliopita, naona mko busy na sherehe sanaTunasikilizia tuone kama leo watatupa taarifa mana uongozi jana ulisema soon watamtanganza Kocha Mpya.
Ya kusua sua kiaje Mtani?Maandalizi yenu yatakua yakusuasua km msimu uliopita, naona mko busy na sherehe sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatukatazi kulamba ndimu jamani. 🤣🤣
Muunganiko wa timu , hukumbuki msimu uliopita zahera alichelewa kujiunga na timu ,kilichofuata?Ya kusua sua kiaje Mtani?
Hahahaha, huyo Senzo ili asionekane Longo Longo ,hapo yanga apige kazi na awe mvumilivuHapo Msola anawaza mengi sana. Anajiuliza sijui kama watamudu kumlipa?!!!
Kwakweli kashayakanyaga na pengine hapo alipo anajutia maamuzi yake. Lakini ndio haiwezekani tena kuondoka maana itaharibu sana CV na image yake. Itabidi avumilie tu yote atakayokutana nayo angalau afikishe japo miezi sitaHahahaha, huyo Senzo ili asionekane Longo Longo ,hapo yanga apige kazi na awe mvumilivu
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh!! Yaani hapa umenikumbusha ile kauli isemayo Mtanzania mpe picha tu maneno atamalizia mwenyewe. lol.Hapo Msola anawaza mengi sana. Anajiuliza sijui kama watamudu kumlipa?!!!
Hakika usemalo Mtani.Hahahaha, huyo Senzo ili asionekane Longo Longo ,hapo yanga apige kazi na awe mvumilivu
Sent using Jamii Forums mobile app
😂Tulieni dawa iwaingie, tutaelewana tu🤣
Akiondoka hata mm nitamuona failure ,na CV yake ataishushaHakika usemalo Mtani.
Japo wengine wanaombea hata kesho atangaze kuondoka. [emoji23][emoji23]
Amalize mwaka kabisa ,na watu waone kazi yake kwa vitendoKwakweli kashayakanyaga na pengine hapo alipo anajutia maamuzi yake. Lakini ndio haiwezekani tena kuondoka maana itaharibu sana CV na image yake. Itabidi avumilie tu yote atakayokutana nayo angalau afikishe japo miezi sita
Nakubaliana na wewe mia kwa mia mkuu
Vinginevyo namshusha vyeo vyote na Yale wasemayo Simba kwamba haku meet KPI wala target yatakua ya kweliNakubaliana na wewe mia kwa mia mkuu