Japo walituuza, tukatumia nauli zetu kwenda Airport kumbe mchezaji haji.Leo tena Airport
Tunanunua na tiketi kabisa leo inabaki kazi jumapili tu.
Vua hiyo barakoa weweee Coona imeisha. 😎Shadeeya vipi jambo bado tu? 😷
Duuh!!! Itakuwa yale mapokezi yetu yanawakosesha usingizi sana yaani.Yanga mmeshalishwa tango pori na viongozi wenu kwa mchezaji Yacouba sogne.
Kiufupi kawatosa.
Mtageuka wachambuzi sana mwaka huu.Yanga Ni kama watoto wanasahau mapema, hawana kocha halafu wanashangilia usajili kabla ya kuwaangalia wachezaji uwanjani.
Team yenyewe waliifumua upya.
Wanaona wakiandika kule hatutaona. 🤣🤣Sasa si uende kwenye post la mikia mkuu? Tunawanyima usingizi
😂😂😂 tulikuwa tunataka tuone vile shangwe letu mnalifuatiliaga kwa ukaribu. 😂😂😂Leo mmeenda kupokea upepo Airport
Kuna saa taarifa kukinzana haizuiliki Mtani.Leo mmeenda kupokea upepo Airport
Kwani unateseka Mtani.Tukiwaambia timu inaongozwa na viongozi walevi wanapanic! Ona leo walivyoingizwa chaka, wamepangwa mistari airport kama wanasubiri mgao wa ubwabwa wa mheshimiwa Hashim Rungwe!
Ila 5imba safari hii wamefunika bana kuamua kuwapa ajira wastaafu. 😂😂Hahaha mimi niliona video moja kuna vijawa wawili ya Yanga.
Mmoja akasema kuwa babu yake amepotea, amekuja Dar siku hiyohiyo na akapotea.
Sasa akapokea simu kuwa babu yake ameonekana kariakoo, mtaa wa msimbazi.
Yule mwenzake akamjibu kuwa ameshasajiliwa.
Ukiwasikiliza wenyewe unaweza ukacheka sana.
Jana mmekosa wa kumbeba 😂😂😂😂😂 tulikuwa tunataka tuone vile shangwe letu mnalifuatiliaga kwa ukaribu. 😂😂😂
Uto kama uto, taarifa zinakinzana vipi wakati ndege ikipata shida ama ratiba ikibadilika lazima mngejuzwaKuna saa taarifa kukinzana haizuiliki Mtani.
🥵😎Coona ni niniVua hiyo barakoa weweee Coona imeisha. 😎
Ujanja ujanja mwingiTukiwaambia timu inaongozwa na viongozi walevi wanapanic! Ona leo walivyoingizwa chaka, wamepangwa mistari airport kama wanasubiri mgao wa ubwabwa wa mheshimiwa Hashim Rungwe!
Vijamaa vinachukia balaa tukipokea wachezaji wetu. Asee kama ni roho chafu basi ilianzia msimbaziDuuh!!! Itakuwa yale mapokezi yetu yanawakosesha usingizi sana yaani.
Hahahaa!! Atakuja na hii ndio ishakuwa kawaida yetu kila ajaye tunaenda kujaa Airport kumpokea.Jana mmekosa wa kumbeba 😂😂
Nimeitamka kisambaa Mtani. 😅🥵😎Coona ni nini
Ndio mana huwa nasisitiza walambe ndimu. 🤣🤣🤣Vijamaa vinachukia balaa tukipokea wachezaji wetu. Asee kama ni roho chafu basi ilianzia msimbazi