Mkonga niliomaanisha ni sawa na mzigo nimebeba mimi iweje maumivu upate wewe.
Na kama sio mkonga iweje uone tunapata tabu wakati wewe si mmoja ya wanaopata hiyo tabu? Au na wewe ulienda Airport jana?
Sasa mbona unatusemea eti kwamba tunapata tabu wakati we ulikuwa busy na kazi.working day jana kwani mimi mpiga dili nikachomeke na jua
Jamiiforum Nina haki ya kukomenti popote!Sasa si uende kwenye post la mikia mkuu? Tunawanyima usingizi
Sasa mbona unatusemea eti kwamba tunapata tabu wakati we ulikuwa busy na kazi.
#YaYangatuachieYanga.
Naongezea tuu...Nakazia!! "Ukinuna uwe na sababu"
HahahaaaaJAMANI MNASALIMIWA SANA NA MZEE ONYANGO PIA AMEOMBA TUMFIKISHIE TAARIFA KWA NDUGU ZAKE HUKO KENYA WANAOSEMA WAMEPOTELEWA NA MZEE WAO KWAMBA YEYE YUPO VEMA NA BUHERI WA AFYA NA ANAPATIWA MATUNZO MAZURI TU KATIKA KITUO KIMOJA CHA KULELEA WAZEE HAPA TANZANIA KINACHOITWA SSC ELDERS CENTER!!
Utopolo nyie muna nin lakin ,makombe mulichukia miaka kumi iliyopita kwaiyo huo usajir munaosema mchezaj gar mumesajil kwa ajir ya nn,kama mulichukua miaka kum kwaiyo wenzenu sasa iv wasichukue kwa sababu nyie mulichukua miaka kum nyuma ,kuna utopolo mmoja anasema uyo mchezaj wenu ghal kasajiliwa dollar 500,muna shida nyieNdugu zangu wananchii na hata mikia pia sio mbaya j2 tukajumuika pamoja kwenda kumaangalia mchezaji ghali zaidi east Africa(carinhos)
Kwakua ndugu zetu mbumbumbu fc au mikia fc au mnyero fc ni wepesi kusahau,napenda kuwakumbusha tu kua mabingwa Mara nyingi wa hii nchii ndo tumeanza upyaa..
Na kuhusu hayo makombe ambayo wameyachukua,sisi tuliyachukua miaka kumi iliyopita
18 October viti visivunjwe tu.
Utopolo nyie muna nin lakin ,makombe mulichukia miaka kumi iliyopita kwaiyo huo usajir munaosema mchezaj gar mumesajil kwa ajir ya nn,kama mulichukua miaka kum kwaiyo wenzenu sasa iv wasichukue kwa sababu nyie mulichukua miaka kum nyuma ,kuna utopolo mmoja anasema uyo mchezaj wenu ghal kasajiliwa dollar 500,muna shida nyie
Kajifunze kujibu hojaKajifunze kuandika kwanza.
Aisee hapo tumepigwa hamna kocha hapo. πππRASMI: Kocha mpya wa klabu ya Yanga ni Zlatko Krmpotic, raia wa Serbia ambaye ameingia makubaliano ya mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu hiyo.
RASMI: Kocha mpya wa klabu ya Yanga ni Zlatko Krmpotic, raia wa Serbia ambaye ameingia makubaliano ya mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu hiyo.
Katika hatua nyingine, Kocha huyo anatarajiwa kuwasili kesho jijini Dar es Salaam tayari kwa kushiriki kilele cha #WikiYaMwananchi
Zlatko aliwahi kuhudumu katika klabu za TP Mazembe, Zesco United na APR.
Katika hatua nyingine, Kocha huyo anatarajiwa kuwasili kesho jijini Dar es Salaam tayari kwa kushiriki kilele cha #WikiYaMwananchi
Zlatko aliwahi kuhudumu katika klabu za TP Mazembe, Zesco United na APR.
Tayari Shem hatucheleweshi.
Tayari Shem hatucheleweshi.