Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Sawa osieNimeitamka kisambaa Mtani. π
Mtani naona gazeti lenu limewapamba vibaya mno.
Na vile hamna nauli za kupanda hizo ndege ninyi nendeni tuu huko Airport mkashangae shangaeHahahaa!! Atakuja na hii ndio ishakuwa kawaida yetu kila ajaye tunaenda kujaa Airport kumpokea.
Mkuu utapata tabu sanaaKila la heri Aigle Noir C.S
Dooh!!Kila la heri Aigle Noir C.S
Gazeti letu tena Mtani? Magazeti ya wote Mtani sema tu wanapata sana wateja wakiweka habari za Wananchi. ππMtani naona gazeti lenu limewapamba vibaya mno.
Bado kesho sasa si ajabu mshabiki wa Mikia ndo akaanzisha uzi wa Siku ya Mwananchi lengo tukifungwa waseme tumekimbia uzi.Mkuu utapata tabu sanaa
[emoji1] [emoji1] ndo maana nimesema gazeti lenu mtani.Gazeti letu tena Mtani? Magazeti ya wote Mtani sema tu wanapata sana wateja wakiweka habari za Wananchi. [emoji41][emoji41]
USITUFOKEE. πNa vile hamna nauli za kupanda hizo ndege ninyi nendeni tuu huko Airport mkashangae shangae
Kama hamnunui magazeti hata mkipambwa unadhania watafanyaje?[emoji1] [emoji1] ndo maana nimesema gazeti lenu mtani.
Mbona unajihami sasa? Acha uoga ya kesho shughuli yenu hawawezi kuwafunga watawastahi.Bado kesho sasa si ajabu mshabiki wa Mikia ndo akaanzisha uzi wa Siku ya Mwananchi lengo tukifungwa waseme tumekimbia uzi.
Gazeti lenyewe ukurasa wa mbele wote ni utopolo tu. Tena habari zilezile.Kama hamnunui magazeti hata mkipambwa unadhania watafanyaje?
Yaani nyie ni wazee wa vichwa vya habari tu. Teh teh.
Sio kujihami tunawajua nyie.Mbona unajihami sasa? Acha uoga ya kesho shughuli yenu hawawezi kuwafunga watawastahi.
Uzi tutaanzisha tarh 6 mnakapocheza na prison
Wanaitendea haki siku yetu adhiim. πGazeti lenyewe ukurasa wa mbele wote ni utopolo tu. Tena habari zilezile.
Wana weweseka na kesho watatoa macho luningani kuangalia burudani kutoka kwa Carlinhooo kijana fundi alieletwa duniani kwa ajili ya kuwanunisha mikia.Bado kesho sasa si ajabu mshabiki wa Mikia ndo akaanzisha uzi wa Siku ya Mwananchi lengo tukifungwa waseme tumekimbia uzi.
ππWana weweseka na kesho watatoa macho luningani kuangalia burudani kutoka kwa Carlinhooo kijana fundi alieletwa duniani kwa ajili ya kuwanunisha mikia.
Tunaamka tunawapiga 5-0 tunarudi kulala