Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Tunataka jez mpyaa...wanakwama wapiii
Lol. Uzuri wa hizi vitu huwa hazijirudiagi kirahisi hivyo mtasubiri sana.Tunaamka tunawapiga 5-0 tunarudi kulala
Hata sijui aisee.Tunataka jez mpyaa...wanakwama wapiii
Injinia alisema kua kontena limechelewa kidogo kuingiaaaHata sijui aisee.
Hapa tumepigwa 🐸😷Kocha mpya wa Yanga SC ,Zlatko Krmpotic amewasili salama nchini na kupokelewa na afisa habari Hassan Bumbuli.
Karibu sana Tanzania karibu Young Africans
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
MkuuuSafari hii huruma ya CCC ikiwepo tena basi zitakuwa 6, kinyume na hapo ni 8.
Hata usipobold hayo maneno yataonekana tu mkuuSafari hii huruma ya CCC ikiwepo tena basi zitakuwa 6, kinyume na hapo ni 8.
Morrison + Chama + Bwalya + MiquissoneSafari hii huruma ya CCC ikiwepo tena basi zitakuwa 6, kinyume na hapo ni 8.
Hahaa sawa Mkuu 👊Mkuuu
Hebu tulia kwanza tumalize shughuli yetu kesho alafu tutakuja kubishana maana nyie si ndo mnachotaka tubishaneee wakati mshasema nyie hadhi zenu Tp mazembe sasa si muende mkabishane na Tp mazembe huko.
Hahaa Mkuu acha kuwatia woga hawa jamaa matatizo waliyonayo yanawatosha.Morrison + Chama + Bwalya + Miquissone
LITAKUFA JITU
Wanajitoa fahamuHahaa Mkuu acha kuwatia woga hawa jamaa matatizo waliyonayo yanawatosha.
Mara waseme level za Barca, hawa mbumbumbu buana.Mkuuu
Hebu tulia kwanza tumalize shughuli yetu kesho alafu tutakuja kubishana maana nyie si ndo mnachotaka tubishaneee wakati mshasema nyie hadhi zenu Tp mazembe sasa si muende mkabishane na Tp mazembe huko.
Tuache. 😎😎Hapa tumepigwa 🐸😷
Mtani Unaota ama?Safari hii huruma ya CCC ikiwepo tena basi zitakuwa 6, kinyume na hapo ni 8.
Hahahahaa. Ubavu wa kubishana na Mazembe wautowe wapi hawa na ndio sababu hata yule ropo ropo wao akiongea sentensi mbili basi ya tatu anataja Wananchi.Mkuuu
Hebu tulia kwanza tumalize shughuli yetu kesho alafu tutakuja kubishana maana nyie si ndo mnachotaka tubishaneee wakati mshasema nyie hadhi zenu Tp mazembe sasa si muende mkabishane na Tp mazembe huko.
Kaone kalivyojibu kipoole.Hahaa sawa Mkuu 👊
Shem hawa jamaa bana kwa kujikweza hawajambo na baada ya Barca kupigwa nane na Bayern Munich wakageuka eti wao kwa sasa ni level za Bayern. 😂😂😂Mara waseme level za Barca, hawa mbumbumbu buana.