Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Ila bana Bro mi naona hizi mambo kama zinaturudisha nyuma tu saa hii badala ya sisi kuangalia mengine tunamzungumzia mtu mmoja kila leo. Khaaa.

Mie nadhani wangefanya kimya kimya saa hii tukaelekeza nguvu zetu kwenye VPL.
Miyayusho sana wangu. Yaani watu wapo kihuni kihuni tu. Kama walituambia wamepeleka shauri CAS sasa hzi porojo za nini? Kuna siku tutawatoa kwenye nafasi walizo nazo kwa viboko
 
Ila bana Bro mi naona hizi mambo kama zinaturudisha nyuma tu saa hii badala ya sisi kuangalia mengine tunamzungumzia mtu mmoja kila leo. Khaaa.

Mie nadhani wangefanya kimya kimya saa hii tukaelekeza nguvu zetu kwenye VPL.
Miyayusho sana wangu. Yaani watu wapo kihuni kihuni tu. Kama walituambia wamepeleka shauri CAS sasa hzi porojo za nini? Kuna siku tutawatoa kwenye nafasi walizo nazo kwa viboko
 
Ila bana Bro mi naona hizi mambo kama zinaturudisha nyuma tu saa hii badala ya sisi kuangalia mengine tunamzungumzia mtu mmoja kila leo. Khaaa.

Mie nadhani wangefanya kimya kimya saa hii tukaelekeza nguvu zetu kwenye VPL.
Miyayusho sana wangu. Yaani watu wapo kihuni kihuni tu. Kama walituambia wamepeleka shauri CAS sasa hzi porojo za nini? Kuna siku tutawatoa kwenye nafasi walizo nazo kwa viboko
 
Chini ya bao3 leo Zlatco itabidi atueleze inakuaje Gwambina wanaweza kufunga goli mbili sisi hatufungi[emoji849][emoji849][emoji849][emoji1745]
Naona zikipatikana goli 4 kwa 4 (Yanga 4 na coastal 4) utalizika zaidi kuliko ushindi wa Yanga goli moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…