Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

M
Lakini pia tusihukumu kwani hatujajua lengo la wao kupigapo hiyo picha kwani waeza kuta wamekutana tu na hamna lolote kati.
Mwanzo wa ngoma ni lele, walijisema wahenga Shadeeya. Mbona wasipige picha na Nchimbi au Lamine?
 
Binafsi nitavaa ili kuwapa moyo Tunisia

Sent from my TECNO-C7 using JamiiForums mobile app
 
Wacha ituuwe
Your browser is not able to display this video.
 
Inabidi kawe makini kwani kama katikati hapo kina Chama waliyumba sababu ya kuendekeza wanawake hivyo na kenyewe kakiwa hivyo kajiandae kusugua benchi.
mwacheni atumie mjuba wake [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…