Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Muachage mdomo Yanga hamuiwezi na ndio sababu leo mutashangilia kukomboa goli ambalo limefungwa na beki huku kila mkikaa mnasifia mna safu bora ya ushambuliaji.
 
Naona hii Second half mmekuja kwa kasi zaidi Mtani mnaeza komboa.
Hawana cha kasi zaidi wala nn shida ni kwamba yanga 2nd half tuliingia na approach ya kujilinda na ndio kilichotucost maana tulikua na kila sababu kuingia na mpira tulioanza nao na am sure tungeongeza goli km sio magoli,ukitaka kuamini angalia simba walivyosawazisha tulivyofunguka kwa mara nyngne walikua ktk hali gani
 
Hahahaha naona mlipagawa mlipopata bao la kwanza mkadhani ushindi utakua mwepesi kama wa october 28
 
Mi nilijua tu hamna uwezo wa kushikilia bomba hapa na mbeya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…