Danny greeny
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 3,856
- 1,648
Kumbe unajua kuwa ni timu kubwa??yanga 2 simaba 0 ila mwaka huu tutawasaidia kupata japo nafasi ya pili mana caf washasau kama tanzania kuna timu kubwa inaitwa simba,mnatia aibu sijui mara ya mwisho kimataifa mmeshiriki lin?
kamua kamua....kitu cha kileleni hakiweza kukaa nyuma hata wiki!!!SECOND HALF | Yanga 2 - 0 African Sports
Kelvin Yondani 32' Mins (Yanga)
Donald Ngoma 37' Mins (Yanga)
Nasikia goli mbili za Yanga ilikuwa offside ya wazi kabisa, alafu goli lingine kipa wa AS anahusika!Goooooal Matheo anthony within a minute
ha ha ha ha ha...hizi ndo sub za makocha wanaoujua mpira!Goooooal Matheo anthony within a minute
Nasikia goli mbili za Yanga ilikuwa offside ya wazi kabisa, alafu goli lingine kipa wa AS anahusika!
Dah, yanga bhana. Ngoja muende kwa APR.
Hivi unajua kwa Tz, kuna WASOMI na WALIOELIMIKA??Unasikia ? Huna uhakika ? Kwasisi WASOMI huwa tunasema alwayz HEARSAY EVIDENCE IS NOT ADMISSIBLE
twende kaziiiiiiiiiTambweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeweewwwwww Yanga Yanga Yanga