Young Africans vs Platnums in Zimbabwe


Kulikuwa na tatizo la makapu juma yupo slow na hana uzoefu, tatizo lingine twite kiwango kimeshuka na hasa akipangwa kati kulia . Ili yanga icheze vizuri yondani na cannavaro lazima wawepo. telela hajui kukaba ngasa msuva mbwembwe nyingi na kupoteza mipira hawa hawajitambui hawajutii kufanya makosa sio proffessionals unapoteza mipira mbele lakini unajenga shambulizi golini kwako na kuwatesa wengine Msuva abadilike ,ukose magoli , upoteze mipira huna maana ama ufunge goli moja uzalishe mawili kwako mwenyewe
 
Yanga ndo wametua muda huu toka Zimbabwe.Hongereni Wanayanga kwa kusonga mbele.

Yani kama weww ni malinzi kwel....bac haufai hata kuongoza chama cha mpila wa mtaa....plan zako zote zimefeli sijui utajivunia nn ukitoka....manake sitegemei kama utarudi tena....na wale wahaya wenzio ulio wajaza pale watafute kazi mapema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…