Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
hiyo ya shinyanga ni kweli??
mh! mabingwa wetu wanafundishwa mpira! washalia kimoja!
Dah....Huyu Refa...
mmeanza!
Hivi wangekuwa wanafundishwa mpira si wangefungwa 5 mpaka sasa..Kumbuka tunashambulia na kulinda pia...So far tumekosa magoli ma3 ya wazi..Tambwe..Ngassa na Msuva
Updates updates ZIMBABWE PLS.
Hapa shinyanga mechi imeahirishwa uwanja umejaa maji.
Kule duniani ARSENAL 3-1LIVER.
fc platnamz wamekosa mangapi mpaka sasa?