Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
Said Juma amepwaya pale kati...Kuna haja ya Kevin Yonda kuingia ili Mbuyu Twite akacheze namba 6...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo ya shinyanga ni kweli??
mh! mabingwa wetu wanafundishwa mpira! washalia kimoja!
Dah....Huyu Refa...
mmeanza!
Hivi wangekuwa wanafundishwa mpira si wangefungwa 5 mpaka sasa..Kumbuka tunashambulia na kulinda pia...So far tumekosa magoli ma3 ya wazi..Tambwe..Ngassa na Msuva
Updates updates ZIMBABWE PLS.
Hapa shinyanga mechi imeahirishwa uwanja umejaa maji.
Kule duniani ARSENAL 3-1LIVER.
fc platnamz wamekosa mangapi mpaka sasa?