Hii maneno watu wanatoa wapi au toka pande ya akachube enzi knyama..nini...manake naona inazagaa tu watu noma nyie wafukunyuku mpaka kwenye yasitegemeka kusikika kweli bongo noma.hata naye yuko overrated,wataalam wanakuambia mgodi haufai umejaa maji na harufu.ndio maana umejipandisha bei ili wachache wasogelee hasa wazee ambao hawacomplain sana.no wonder vijana hawapigi kambi
Hii ni mahususi kwa wale wote ambao walikuwa na shauku kubwa ya kutaka kumjua 'Jimmy Mcmelle'
Jimmy Mcmelle ni kijana wa pekee katika familia ya Mzee Mcmelle aliyefariki miaka mingi iliyopita, Kwa ufupi malezi yake ameyapata kutoka kwa mama yake anayeitwa 'Jane Mcmelle' ambaye nae ni mjasiriamali na mpambanaji hapa mjini
[/B]
Aksante sana kwa taarifa Mkuu. Ila hii 'Mcmelle' ni jina ya wapi maana kuna sehemu nimesoma ni Mwakamele sijui....
Poleni sana wafiwa na RIP dogo Jimmy
Hivi alikuwa kwenye mwendo kasi na anatumia vilevi? Kwa umri wake ulivyo mdogo lazima alikuwa ana kunywa....! Hivi lemutuz huwa anatumia kilevi?
Mkuu kuna kitu nyuma ya pazia mnaficha labda mtuambie alikuwa anavuka kuja kunduchi ndio maut yalipomkutia pale maana pale kwenye kicross lazima uwe timamu kwelkwel ndio upite panahitaj umakin wa hal ya juu sana kuangalia magar esp malor yanayotoka tegeta ss kama alikuwa pemben pale anasubir magar yapungue ndio avuke na lor likamgongee pale sio rahis labda mtuambie alivuka kwa kuongozwa na akil za pombe ndipo maut yalipomkuta na kama alikuwa havuk kuja kunduch alinyoosha tegeta si rahis kugongwa labda kagongewa kibaoni.Usipende kuongea vitu usivo vijua Jimmy alikuwa ndani ya gari yake tena alikua amepaki ghafla Lori lilikuja kuvamia gari yke asijue nn chakufanya hadi umauti unampata akiwa ICU asubuhi bt some how hiki kifo chake ni chakutengenezwa bt hakuwa amelewa hata chembe na gari ilikua amepaki
Mkuu hiyo kitu kwangu iko mbali sana,kipato chenyewe ni mawazo tupu.
Kwanini niseme kitu nisichokijua?marehemu ni mdogo wake haidary kavira wana kampuni inaitwa globex inahusika na madini dar.hakuwa bilionea but alikuwa anapesa mingi sijasimuliwa nawafahamu.
Hivi alikuwa kwenye mwendo kasi na anatumia vilevi? Kwa umri wake ulivyo mdogo lazima alikuwa ana kunywa....! Hivi lemutuz huwa anatumia kilevi?
Nanibkakuambia ameenda Mbinguni? 
Mkuu kuna kitu nyuma ya pazia mnaficha labda mtuambie alikuwa anavuka kuja kunduchi ndio maut yalipomkutia pale maana pale kwenye kicross lazima uwe timamu kwelkwel ndio upite panahitaj umakin wa hal ya juu sana kuangalia magar esp malor yanayotoka tegeta ss kama alikuwa pemben pale anasubir magar yapungue ndio avuke na lor likamgongee pale sio rahis labda mtuambie alivuka kwa kuongozwa na akil za pombe ndipo maut yalipomkuta na kama alikuwa havuk kuja kunduch alinyoosha tegeta si rahis kugongwa labda kagongewa kibaoni.
hata naye yuko overrated,wataalam wanakuambia mgodi haufai umejaa maji na harufu.ndio maana umejipandisha bei ili wachache wasogelee hasa wazee ambao hawacomplain sana.no wonder vijana hawapigi kambi
Mawala kwani kafa ? Yale yaliyofanyika Nairobi sio maigizo kweli ? Anaweza akawa zake USA hukopoleni wafiwa, ila kwa nyie mabilionea wa arusha hasa madini , kama hizo mali mlizipata kwa kudhulumu mtakwisha kiajabu ajabu hivihivi, nlishapata stori moja sasa nimeanza kuamini mlinyang'anya sana mali za watu , na mkamtumia advocate bilionea mawalla na mkashinda sasa mrudieni Mungu , kwa mtazamo tu anzia kifo cha Mawalla , utaona mfululizo wa vifo vya ajabu kwa hawa mabilionea .
Thubutu yake....haidari kavila inasemekana alimuwekaga Bondi mdogo wake anaitwa Biden boss...yaani Mtoto wa Kaka yake haidairi kavila ili Jamaa speeder mambo fulani...KAVIRA kasha ripoti kwa Makonda?