Young Bilionea wa Madini wa Arusha Afariki Dunia

hata naye yuko overrated,wataalam wanakuambia mgodi haufai umejaa maji na harufu.ndio maana umejipandisha bei ili wachache wasogelee hasa wazee ambao hawacomplain sana.no wonder vijana hawapigi kambi
Hii maneno watu wanatoa wapi au toka pande ya akachube enzi knyama..nini...manake naona inazagaa tu watu noma nyie wafukunyuku mpaka kwenye yasitegemeka kusikika kweli bongo noma.
 

Aksante sana kwa taarifa Mkuu. Ila hii 'Mcmelle' ni jina ya wapi maana kuna sehemu nimesoma ni Mwakamele sijui....

Poleni sana wafiwa na RIP dogo Jimmy
 
WA KISHUA

Watamuombea hao waliokuwa wanakula nae bata, mi naanzaje kumuombea? Kwanza simjui, watamuombea akina hydary na marafik zake wote wa mbezi beach na mbweni
 
Last edited by a moderator:
Hivi alikuwa kwenye mwendo kasi na anatumia vilevi? Kwa umri wake ulivyo mdogo lazima alikuwa ana kunywa....! Hivi lemutuz huwa anatumia kilevi?

Usipende kuongea vitu usivo vijua Jimmy alikuwa ndani ya gari yake tena alikua amepaki ghafla Lori lilikuja kuvamia gari yke asijue nn chakufanya hadi umauti unampata akiwa ICU asubuhi bt some how hiki kifo chake ni chakutengenezwa bt hakuwa amelewa hata chembe na gari ilikua amepaki
 
Hzi issue ukishikwa ujue mapumb.u huna...

Ni shida sanaa. Daah
Haya mambo wanigeria ndio wamebobea mixer ndumba, in UK na US wanaogopeka sanaa.
 
Mkuu kuna kitu nyuma ya pazia mnaficha labda mtuambie alikuwa anavuka kuja kunduchi ndio maut yalipomkutia pale maana pale kwenye kicross lazima uwe timamu kwelkwel ndio upite panahitaj umakin wa hal ya juu sana kuangalia magar esp malor yanayotoka tegeta ss kama alikuwa pemben pale anasubir magar yapungue ndio avuke na lor likamgongee pale sio rahis labda mtuambie alivuka kwa kuongozwa na akil za pombe ndipo maut yalipomkuta na kama alikuwa havuk kuja kunduch alinyoosha tegeta si rahis kugongwa labda kagongewa kibaoni.
 
Kwanini niseme kitu nisichokijua?marehemu ni mdogo wake haidary kavira wana kampuni inaitwa globex inahusika na madini dar.hakuwa bilionea but alikuwa anapesa mingi sijasimuliwa nawafahamu.

Safi mkuu,
Thanks.
 
Hivi alikuwa kwenye mwendo kasi na anatumia vilevi? Kwa umri wake ulivyo mdogo lazima alikuwa ana kunywa....! Hivi lemutuz huwa anatumia kilevi?

Mkuu mbona umemuulizia LeMutuz ghafla sana in connection na kifo cha bilionea Jimmy?
Unamwombea nini LeMutuz?
 

Anaficha nn? kwani yey ndiyo alisuka mpango wa kifo chake? hii
 
hata naye yuko overrated,wataalam wanakuambia mgodi haufai umejaa maji na harufu.ndio maana umejipandisha bei ili wachache wasogelee hasa wazee ambao hawacomplain sana.no wonder vijana hawapigi kambi

duuuhhh....kweli uzuri wa mkakasi....!!
 
Mawala kwani kafa ? Yale yaliyofanyika Nairobi sio maigizo kweli ? Anaweza akawa zake USA huko
 
KAVIRA kasha ripoti kwa Makonda?
Thubutu yake....haidari kavila inasemekana alimuwekaga Bondi mdogo wake anaitwa Biden boss...yaani Mtoto wa Kaka yake haidairi kavila ili Jamaa speeder mambo fulani...
Alafu baada ya Jamaa kutoka Bondi alidhulumiwa na kvila hehehe....

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…