Young Bilionea wa Madini wa Arusha Afariki Dunia

Tanzania mabilionea ni wawili tu, wengine ni milionea ambao ni wachache pia. Afu wanafata lakionea na bukuonea

Mkuu umenena ukweli ngoja mimi nijitahidi ili niachane na ujitionea niwe bukuonea. Sasa waliopost wote inaonekana wamemjulia humu humu JF maana hakuna hata mmoja anayetupa historia yake japo ya kibiashara tu.
 
Binamu wewe nae kwa fix eti hakanaga maringo kwani ulishawahi kukutana nae?

Kuna mtu kampost uko insta kuwa kaumia sana na kifo chake juzi walikuwa wote wapi sijui, sasa kumbe na yeye hamjui akaenda kwa page ya mtu akawa anauliza kwan huyu jamaa alikuwa ni nani? Watu wacha wampe vichambo aisehh khaa watu wanapenda kick jaman, mtu mwenyewe kashatangulia
 

Hahahaah watu wanatauta kick mjini khaa
 
Mara nyingi ukiwa na hela nyingi ktk umri mdogo huna maisha mrefu. R. I. P billionaire
 
Au hawa ndo ma silent millionaires" kila mtu anasema alikua anajishughulisha na madini na ukichek IG account yke kweli kuna magold gold nn dah R.I.P
 
Nilikua simfahamu nashangaa kila star insta kampost au ndo hizo fezwa zake angekua mwingine hata asingepostiwa.

Mwenzangu we acha, uko insta leo habar yake ndo imepamba moto, sipat picha msiba wake, warumi cha umbea naanzaje kukosa sasa? Ntaenda kulia utadhan namjua chezeya kick weye, hahahahh ahahah
 
Mwenzangu we acha, uko insta leo habar yake ndo imepamba moto, sipat picha msiba wake, warumi cha umbea naanzaje kukosa sasa? Ntaenda kulia utadhan namjua chezeya kick weye, hahahahh ahahah

Yani insta kila mtu jimy jimy kah Mpaka nikashangaa. Ila nimemuona Lina kapost picha akiwa msibani na bongo movie.
 
Halafu alivyo kama mgonjwa vile, mwil hauna afya wakat pesa zipo dah

Model flani hv mshkaji wake mkubwa kwenye bisness zao za madini anaitwa hydary kavira huyu jamaa atabaki mpweke sana walikua vry close friends alafu wote pesa mbaya. Cwajua kiundani ila niliwafollow mda sana nimewajua kupitia IG tu.
 
Yani insta kila mtu jimy jimy kah Mpaka nikashangaa. Ila nimemuona Lina kapost picha akiwa msibani na bongo movie.

Looh, pesa izi binamu, yani angekuwa na uwezo wa kuamka aone watu wanavyomshobokea dah, ila juzi kati ilikuwa siku yake ya kuzaliwa ndo nilipoanza kumuona ila sio watu wengi walio mu wish happy birthday kama wa leo aiseeh,maana wengeumbuka wengi hawamjui kafa ndo wanajifanya kumjua
 
Model flani hv mshkaji wake mkubwa kwenye bisness zao za madini anaitwa hydary kavira huyu jamaa atabaki mpweke sana walikua vry close friends alafu wote pesa mbaya. Cwajua kiundani ila niliwafollow mda sana nimewajua kupitia IG tu.

Hydar ni rafik yake au ni ndug yake yule? Mmh nasikia wana pesa chafu, rafik zake lemutuz hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…