BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Mna utani na babu nyie eeeh
Wakati anaomboleza u know!!
Wakati anaomboleza u know!!
Lemutuz hajakwenda? Ni rafiki yake na anaweza kuchaguliwa kuwa mwenye kiti wa mazishi
Hydar ni rafik yake au ni ndug yake yule? Mmh nasikia wana pesa chafu, rafik zake lemutuz hao