Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,585
- 15,468
Looh, pesa izi binamu, yani angekuwa na uwezo wa kuamka aone watu wanavyomshobokea dah, ila juzi kati ilikuwa siku yake ya kuzaliwa ndo nilipoanza kumuona ila sio watu wengi walio mu wish happy birthday kama wa leo aiseeh,maana wengeumbuka wengi hawamjui kafa ndo wanajifanya kumjua
Yani
Ameniumiza sana.Rip baby