Young Bilionea wa Madini wa Arusha Afariki Dunia

Taifa hli limejaa malimbukeni, ni watu wa mapokeo tu.

MMh msiba wa huyu dogo haijawah kutokea iaseeh, nataka nijue alikuwa ni nani haswaa, maana zile shobo za insta leo ni hatar, watu wanampost mara kumi kumi aiseeh
 
Sasa kama alikua anatumia pesa za ulisi kutafuta jina badala ya kusaidia wajane nayatima amefariki hizo pesa atalisi nani

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
MMh msiba wa huyu dogo haijawah kutokea iaseeh, nataka nijue alikuwa ni nani haswaa, maana zile shobo za insta leo ni hatar, watu wanampost mara kumi kumi aiseeh

Atakuwa alikuwa anawapa pesa si bure...
 
Wengine wanasma eti alikuwa anafanya biashara ya madini, ila nasikia ni pesa za urithi wa baba ake, halafu alikuwa ana roho nzuri mwenyewe, hakanaga ata maringo aseeh, rest in peace

Huyo anaonekana miaka 21 hakafiki kabisa........! Hivi ni rafiki yake Lemutuz?
 
Lemutuz hajakwenda? Ni rafiki yake na anaweza kuchaguliwa kuwa mwenye kiti wa mazishi

MMh mtu mzima kuwa limbuken ata haipendezi, si watazika kesho? Maana misiba ya waislam hainag mbwe mbwe, ingekuwa ya kikristo tungekoma uko misiban, wamzike tu watu wapunguze shob
 
Thamani ya mali zako zikifika bilioni moja tu tayari wewe ni bilionea. Tupige Hesabu ya fasta hiyo helicopter kama kweli ni yake, Nyumba na mali nyingine anaweza kuwa amevuka bilioni moja.


A billionaire, in countries that use the short scale number naming system, is a person with a net worth of at least one billion (1,000,000,000; a thousand million) units of a givencurrency, usually major currencies such as the United States dollar, the euro, or the pound sterling. Forbes magazine produces a complete global list of known U.S. dollar billionaires every year, and updates the Internet version in real time.[1] The American oil magnate John D. Rockefeller became the world's first confirmed U.S. dollar billionaire in 1916;[2] as of 2015, there are over 1,800 U.S. dollar billionaires worldwide, with a combined wealth of over US$7 trillion.
 
Huyu mbona simfahamu Arusha sababu ma billionaire wa Arusha hauwatrace ni automatically known na katika majumba ya mabillionaire huko mitaa ya Njiro, Olorien, Moshono, Sakina, Uzunguni n.k hiyo nyumba kama kwenye picha huwa ni kama home garage.
 
So gambe ndo iliyoaccelerate kifo chake!?
aisee mbona umri mdogo sana alikuwa hata hajafikia kwenye peak ya matanuzi manono ya hela make bado shombo la maziwa ya mama halijamuisha mdomoni.
Halafu hii dhana ya kuitana mabilionaire kisa eti anamudu kukununulia beer inabidi ifutike asee make huyo chalii hajui hustling yoyote kakuta maisha juu ya mstari maneeena mnamwita bilionaire?
 
Mna uhakika hizo mali zilikua ni zakwake binafsi??

am sure percentage kubwa ya watu esp africans wanaopenda kupiga picha na pesa nyingi na kuziweka mitandaoni sio zao (i stand to be correct)!

by the way... RIP Chalii
 
Lemutuz tena, kampost insta anasema alikuwa kwenye gari lake la kifahari la benz, yani mtu kafa ye anawaza ufahari tu,mmh kama degree tatu ndo mtu unakuwa hvyo mimi sizitaki kabisa

Kwanza hzo degree 3 mi naona kama ushuzi tu, kwanin huo muda wakusoma hzo degree 2 asingesoma masterz na phd????? nilishangaa sana niliposikia anadegree 3 zote za level moja, na siamin bado kama ni kweli. mim naamin le mbebez anaPHD.
 
Pole zake marehemu. Amefariki mapema sana kabla hata hajaenjoy hela zake.
21 years amewahi nini mbinguni?
Pombe noma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…