Bigbootylover
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 2,847
- 1,828
Nimejaribu kupitia kurasa zao za instagram hawa ndugu zetu, naona kila mtu hana tena picha ya mwenzake au wakiwa wapo wote, vipi mapenzi yamefika mwisho au kuna nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wote si wanaume....?
wewe ambaye sie mbea kimekuleta nini huku kama sio uchawi?Acha umbeya
young dee ni shoga, ushahid upoMkuu hapo ametajwa Tunda na siyo Tunda Man!
BTW, humu JF kuna tetesi za Young D kwamba eti ni ..., hivyo sentensi yako inaweza kubadilishwa na kuwa "wote ni wanawake".
Asanteni wakuuTunda kammwaga young d...Now yupo na nuh mziwanda!
Bigbootylover
wewe ambaye sie mbea kimekuleta nini huku kama sio uchawi?
Sio Utabora we beki 3Acha umbeya
Weka huo ushahidi mkuuyoung dee ni shoga, ushahid upo
Tunda kampiga chini young d sema yound yupo kubembeleza waendelee tunda kasema hatakiNimejaribu kupitia kurasa zao za instagram hawa ndugu zetu, naona kila mtu hana tena picha ya mwenzake au wakiwa wapo wote, vipi mapenzi yamefika mwisho au kuna nini?